mkonyezaji
Senior Member
- Jan 22, 2014
- 154
- 19
Mafisadi walikwishaingia mikataba ya gesi hata kabla haijagunduliwa. Bila CCM kuondoka madarakani, watanzania waendelee tu kuhesabu maumivu ya ufukara! Hakuna nafuu ya maisha!
Ulitaka chama gani kiwe ikulu. Akili za samaki nenda kwenye point