Gesti unatumiaga jina gani?

Tukienda gesti kibongo bongo kwa ajili ya kupiga mambo yetu yale wengi wetu hatutumiagi majina yetu ya ukweli. Mimi naandikaga Emmanuel John, wewe je?


Funguka hapa chini[emoji116]

Hifikepunye Rutashuburugukwa!
 
Mkuu mzee mjungu ndiyo mzee Wamjungu?
 
February makamba
Kazi; wakili
umri: 39
kutoka Tanga kwenda Dodoma

wakati huo nipo Dar chimbo la hapo lubumbashi nanyatia mashangazi ya hapo lubumbashi,mnazi mmoja na gods Club mbezi mwisho
Mkuu mnazi pale kuna yale mashangazi kama Lubumbashi au kwa Godi?
 
kwa ajili ya kupiga mambo yetu
Sidhani kama wote tunaingia kwa ajili ya hili mkuu...wengine tunaingia kulala ili kesho tufanye kaz tuliyopangiwa sehemu hiyo
 
Na sababu ya kutotumia jina halisi?🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…