Get Rich or Die Tryin: Niliyoyapitia katika ukuaji wangu

Sema mkuu majukumu mengi
Mda mwingi nipo kwenye gari nawapeleka wazungu porini
Ukishakuwa ndani ya mbuga simu un aweka mode ya ndege ili kuepusha kusumbua wanyama:
Sasa narudi jioni nikiwa nimechoka sana
Sena leo nitaendeleza kwa kirefu
Aaah sawa mkuu wa kambi
 
Sema mkuu majukumu mengi
Mda mwingi nipo kwenye gari nawapeleka wazungu porini
Ukishakuwa ndani ya mbuga simu un aweka mode ya ndege ili kuepusha kusumbua wanyama:
Sasa narudi jioni nikiwa nimechoka sana
Sena leo nitaendeleza kwa kirefu
Una majukumu mengi
 
MI huwaga siangalii series huwa naangalia full movie masaa 2-3 nmeshamaliza

na kwanini mtu ukishajiona umetulia uandike story yako vzr kwa urefu yaan mtu unaandika hata hutumii nusu saa unatumia dk 15 tu useme itaendelea kweLi
Uandishi unapaswa utulize akili na mawazo ili kueleza na kuandika kwa weledi mkubwa,

Zipo story ambazo unaweza kuandika kwa DK 15,
Na zipo zingine unaandika kwa masaa 3 kwa kufikiria na kutumia akili kubwa,,..

Ndy sababu ya kuandika inaendelea ili upate nafasi ya kupumzika na kupata wasaa wa kufikiria Zaidi.
 
Hii imenihuzunisha sana. Mungu akutie nguvu bro. Duniani shida ji nyingi sana.
 
Mwamba kaandika yalio msibu
Kwetu sisi ni funzo hapo kwa hapo ni burudani maana tuna enjoy hadithi ya mangi shangali.
Kama ukiona mpwayungu kachangia uzi wa mtu kwa heshima juu huo uzi umemkosha.
Sasa huyu dogo analeta mzaha tu. Dunia ni ngumu sana na hii imenifundisha kutomdharau wala mcheka mtu maishani mwangu.
 
Wewe jamaa unatabia za kishoga
Mwanaume tumeumbwa roho nzuri
Unatabia za kike,sasa unafurahia mangi shingali kupigwa banned.
Acha tabia za kishoga
Akitamkacho mtu ndiyo akifanyacho naamini hizo ulizotaja ndo tabia zako hongera sana
Tahadhali Sinunui wanaume wenzangu Nina mke mzuri tu home
 

Hakuna mwanafunzi anayeshindikana na walimu, na aendelee kukaa Shule, shule yenye sanawari?

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…