Mangi shangali
JF-Expert Member
- Feb 9, 2023
- 533
- 820
- Thread starter
- #161
Itaendelea
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
SijakuelewaDaah kwenye mungi hapo story inafanya nisiipende any way story ya kweli wengine mungu hawawasaidii.
Mama yako anaeleweka???Hata haieleweki aisee
Yes mama yako ni mrembo sanaMama yako anaeleweka???
Yote niliyoyaandika zilikuwa utangulizi sasa story lenyewe niliyokusudia linaanza hivi:...
Sehemu ya kwanza:=...
Tamaa za fedha zilijaa akilini mwangu,kipindi hicho nilikuwa darasa la 7 ndo namaliza ila kiumbo mimi ni mrefu nilijiona nimekuwa tayari hata shule sikupenda sana,ebu fikiria ndugu darasani akili zimo ila shule sitaki kabisa,nawaona kaka wanakula bata na mapikipiki wamependeza na maviatu ya gharama kubwa kipindi kile ukivaa kiatu cha cat,timberland ma makoti ya leather unaonekana wewe mjanja hiyo na zungumzia 2004.
Nilipomaliza darasa la Saba tu niliwaambia wazazi naenda kutafuta pesa mgodini aisee hilo jambo lilikuwa kubwa sana kwa wazazi,ndugu walinishauri sana ila sikuwasikia nilipowaona kaka zangu walioniachia ziwa wanapesa za maana tena wakiwa na miaka 24 bado wadogo nilipatwa na tamaa la ajabu sana..
Wazazi hawakuwa nala kufanya walinipa baraka zote mwanangu nenda kapambane:nikiwa na miaka 15 kwa mara ya kwanza naingia merelani hiyo mgodini dingi na maisha ya kule sio ya kitoto.unaambiwa hivi mgodini na bandarini ndo kazi za hatari zenye kuogopesha,ila siku ogopa chochote.
Kwa mara ya kwanza naingia merelani simanjiro nikiwa juu ya pikipiki cc 250 la brother nikiwa na miaka 15 tuu sio powah arifu
Itaendeleeaaa...
Mkuu leta link ya Uzi wako... Hizi shuhuda kuna la kujifunzaNdio Kuna Uzi wangu niliwahi kupost wa Sitosahau Wema alionitendea Mungu Mimi nilifika point ya Mwishohuna kazi +stress za mapenzi nikamuomba Mungu Aniue au aniondolee Matatizo [emoji16]ni ndani ya Usiku mmoja niliamka usiku nikalia sana Kwa kuomboleza kukuuuu sijawahi jiachia nikalia Kwa uchungu mbele za Mungu ....naona Mungu mwenyewe Machozi yalimlenga lenga[emoji1][emoji1]Asubuhi jicho likiwa limevimba nikapokea simu Moja ikabadili Kila kitu.....Sasa kwenye comments mtu anakuandikia Kwamba ni chai......yaani unabami unashangaaa uandike chai Ili iweje chai yenyewe hujadanganya una Range Sport[emoji854][emoji16]hahaaaaa....tuheshimu muda wa mtu kujitolea kuandika....na kama ni chai acha usisome.....nyuzi ni nyingi mno [emoji120]
Huku ujaitwa eboooYes mama yako ni mrembo sana
Hatutaki uongo sasaHuku ujaitwa ebooo
JiheshimuOle wako uendelee bwege ww
Mkuu mbona series mnaangalia?itaendelea hapo ndonumeharibu uzi wako wote mkuu
Jiheshimu ww kutuletea nyuzi za kishamba shamba hapaJiheshimu
Na nusuHatari sana...
PwMangi shangali shusha vitu. Achana na wakosoaji
MI huwaga siangalii series huwa naangalia full movie masaa 2-3 nmeshamalizaMkuu mbona series mnaangalia?
Hivi mnadhani uandishi ni Sawa na kuhamisha kabati?
Sema mkuu majukumu mengiMI huwaga siangalii series huwa naangalia full movie masaa 2-3 nmeshamaliza
na kwanini mtu ukishajiona umetulia uandike story yako vzr kwa urefu yaan mtu unaandika hata hutumii nusu saa unatumia dk 15 tu useme itaendelea kweLi