Hahahaha nilielemewa fikiria Ndovu+ Safari+Kilimanjaro+Ndovu
Ilikuwa safi sana ila raha yetu ingetimia endapo tungejua afya ya mpwa mwenzetu Burn tulyesikia ni mgonjwa wa mafua makali.
Yeah nilimfikisha salama alikunywa mno Konyagi akadai anaumwa.
Mpwa next time kijiwe kitakuwa wapi?
Kama kawa tutawasiliana kwa PM. Si unawajua kina Bestfriends wa mkuu nguli (Yu knoo woram seeeein)? Hivi mgonjwa alikuwa he/she?
Kweli Carmel anatisha WIDE LOAD! shez well grounded well fed, rl african mama.
Hahahaha basi jukumu la kutafuta kijiwe chenye nyama choma tuwaachie Nguli na Geoff mgonjwa alikuwa He Geoff alikuja aliniona nae mzima tu nikawa na kazi tena ya kumpeleka mgeni TAZARA dah alikuwa wide loaded teh teh teh
Ilikuwa safi sana ila raha yetu ingetimia endapo tungejua afya ya mpwa mwenzetu Burn tulyesikia ni mgonjwa wa mafua makali.
Hivi kumbe burn hakuwepo, mafua ya kitimoto yalimkamata au woga wa shughuli? Burn bana! Hahaha! Dada yangu alifunika mbaya na ile shela. Bwashee mwenyewe alikoma. Ila rekodi alivunja Carmel, ile Bajaji nilifikiri imepata pancha! Hahahaha!
Mpwa nilikuwa na dripu kadhaa ila kwa upendo wangu kwenu nilimuomba nesi amix na ndovu mpya kwenye hiyo drip, vipi kulikuwa na muingiliano wa kijinsia? next tym nitahakikisha natia maguu
Mpwa nilikuwa na dripu kadhaa ila kwa upendo wangu kwenu nilimuomba nesi amix na ndovu mpya kwenye hiyo drip, vipi kulikuwa na muingiliano wa kijinsia? next tym nitahakikisha natia maguu
mafua gani tena jamani isijekuwa ni mdau mkubwa wa ...Nk nk
Mpwa Masa na toto la kizenji, simpatii picha. Mpwa YoYo kwa kitimoto hawezekani! Hahaha! Inabidi hafla irudiwe tena!
Mpwa nilikuwa na dripu kadhaa ila kwa upendo wangu kwenu nilimuomba nesi amix na ndovu mpya kwenye hiyo drip, vipi kulikuwa na muingiliano wa kijinsia? next tym nitahakikisha natia maguu