..hapa uko off point babu!
Kaizer mi nakuprintia tu kaka........... ukija nakupa!
nyamayao ..........nimekugaya!
what?!THE SAME BOY?
mrembo utaniharibia ndoa.....
Bora umesema,kula tano.
Umeona anacho uliza babu? Anataka kujua kwa nn nina contact nyingi za SHE
hahaha! Mchumba alinikataza kunywa serengeti, kakubali next kikao nizifakamie. No worry bwashee. Tunashukuru jana glasi zilibaki salama. Hahaha! Banta na glasi wapi na wapi bana!
Jibu ni NDIO. Za she zimejaa tele ikiwemo ya mchumba wangu!
... gonga kitufe cha thenks hapo juu switihat 🙂
Kuna mtu mmoja nilisahau kumwalika Belinda Jacob ngoja nimtafute ili next kikao awepo.
... gonga kitufe cha thenks hapo juu switihat 🙂
Kuna mtu kamwita shemeji swt heart je umemwona?
...aaah mazee, mimi si zangu hizo mkulu, ZD shemeji bana. Nitake radhi mara moja. AI DIMANDI
...aaah mazee, mimi si zangu hizo mkulu, ZD shemeji bana. Nitake radhi mara moja. AI DIMANDI
nilidhani unamaanisha!lol