Get tugedha ilifana na ilikuwa bomba

Get tugedha ilifana na ilikuwa bomba

..hapa uko off point babu!

Nampongeza STEVE D kama legend pekee aliyeamua kujiunga nasi tafadhali fikisha salamu zangu za dhati kwa wengine hapo juu nitakuja kuwatembelea siku nikipanda cheo kazini(nikija kwa semnia i mean.)
 
hahaha! Mchumba alinikataza kunywa serengeti, kakubali next kikao nizifakamie. No worry bwashee. Tunashukuru jana glasi zilibaki salama. Hahaha! Banta na glasi wapi na wapi bana!

Ni kwa vile nakupenda,Si unajua kama kweli unampenda utamlinda? sitaki uwe presha inapanda,presha inashuka kama kapteni.Hizi serengeti zinaleta stroke halafu.Tena inabidi tujiunge mimi na wewe kwenye Gym ya Nguli.
 
Wakuu kulikuwa na salamu jana toka kwa George_Porjie nilisahau
 
...aaah mazee, mimi si zangu hizo mkulu, ZD shemeji bana. Nitake radhi mara moja. AI DIMANDI

Nampongeza STEVE D kama legend pekee aliyeamua kujiunga nasi tafadhali fikisha salamu zangu za dhati kwa wengine hapo juu nitakuja kuwatembelea siku nikipanda cheo kazini(nikija kwa semnia i mean.)
 
Back
Top Bottom