Get tugedha ilifana na ilikuwa bomba

halafu xpin sikuwahi kufikiri kwamba wewe ni kimmbau-mbau kiasi hicho!lol.watu wembamba lakini wewe ni zaidi ya founder😀

Muzee si unajua wanariadha na unene haviendani. Hahaha!
 
halafu xpin sikuwahi kufikiri kwamba wewe ni kimmbau-mbau kiasi hicho!lol.watu wembamba lakini wewe ni zaidi ya founder😀
inabidi tumsaidie wife aina ya menu akuanzishie uongezeke kidogo
 
habari ndio hiyo nyamayao. anaendoka serengeti pale ni ZD, na Nguli konyagi, mimi bingwa, Geof alikosa vita malta ikabidi apate bavaria, yoyo na fidel ndovu.


hapana haaa Carmel niambie unanitania, kwani hayo ma beer bado yapo kweli? na huyo kunywa ma molasesi ni nini? amemeza metakefin?
 
Mpwa Masa na toto la kizenji, simpatii picha. Mpwa YoYo kwa kitimoto hawezekani! Hahaha! Inabidi hafla irudiwe tena!

Ilikuwa niwaombee mabaya iwapo msingenitaja......love n peace! Baba wa Zenj Masa
 
kwa kweli sikuamini kabisaaaaaaaaa

Subiri mchumba aingie hapa awape watu habari, manake wengine wanajuaga mi mtu wa masihara. Vipi uko tayari kuwa matron kwenye arusi yetu January au hubby atakuwa kashatundika kitu. Si unajua WideLoad ikiwa na kitu ndani inakuwa Wider! Sasa naimagine usimamie harusi yangu na portable yangu ZD sijui itakuwaje! Hahahaha!
 
lakini rasta za Yo Yo noma!sijui ni chafu au ndo rangi yake😀
 

Baada ya getitugeza ya jana nilitegemea hili litaibuka.... Hongera Chrispin labda utatulia sasa.

Mtafutie na Fidel naye asisubirie 2012
 
Ilikuwa niwaombee mabaya iwapo msingenitaja......love n peace! Baba wa Zenj Masa

Hahahaha mpwa jana tuli enjoy sana tena mno next time manyama yatakuwepo.
 
Kuna tukutuku zina sauti kubwa daaa! Na ulevi hausababishi ajali nimejifunza jana.
 

Mi nadhani january hubby atakuwa kashafanya mambo sasa we anza tu kumbook nyamayao na kaizer watamaliza mchezo sie tutakuwa kwenye kamati ya maandalizi
 
Kuna tukutuku zina sauti kubwa daaa! Na ulevi hausababishi ajali nimejifunza jana.

Hahahaha yeah unakuwa na full control alafu kufidensi inaongezeka ukiwa road.
 
Baada ya getitugeza ya jana nilitegemea hili litaibuka.... Hongera Chrispin labda utatulia sasa.

Mtafutie na Fidel naye asisubirie 2012

Hahaha! Ndio maana ulisepa au? Acha woga binamu!
 
Ila roho iliniuma nguli alivotaka kumuunganishia kwa ZD wangu afu bahati mbaya ZD akawa anachekacheka! Lol! Wivu bana!

Teh teh teh anacheka vizuri sana kwa kweli....ZD uunaweza niPM!
 
Kuna tukutuku zina sauti kubwa daaa! Na ulevi hausababishi ajali nimejifunza jana.

hivi kaka ulifika salama!huwezi kunywa konyagi kama maji rafiki!ulinishangaza sana jana.daladala hazina watu we ukaingilia dirishani😀

umezoea mbagala
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…