Get tugedha ilifana na ilikuwa bomba

Get tugedha ilifana na ilikuwa bomba

Nimechelewa na minutes zishasomwa.anywei mie zangu ni shukrani za dhati kwa ajili ya lile bonge la fanksheni kwanza kabisa kwa my dia mchumba Xpin- mwenyekiti wa kamati ya maandalizi,Nguli -MC wetu(mzee wa vyuma),Geoff-Mgeni rasmi, mamaa wa ukweli Carmel,YoYo-cool guy,Fidel80-mzee wa vinywaji,na bila kumsahau Masanilo aliyetutwangia saa zima all the way from Zenj.

It was so nice to see you all live kabisa bila chenga za keyboard,I love you all!

He! He! He! Naomba mawani yangu nisome upya hii.
 
Nimechelewa na minutes zishasomwa.anywei mie zangu ni shukrani za dhati kwa ajili ya lile bonge la fanksheni kwanza kabisa kwa my dia mchumba Xpin- mwenyekiti wa kamati ya maandalizi,Nguli -MC wetu(mzee wa vyuma),Geoff-Mgeni rasmi, mamaa wa ukweli Carmel,YoYo-cool guy,Fidel80-mzee wa vinywaji,na bila kumsahau Masanilo aliyetutwangia saa zima all the way from Zenj.

It was so nice to see you all live kabisa bila chenga za keyboard,I love you all!

Next time nitakuja na shemeji yenu ama wifi yenu kwa wengine, in case nikitaka misbehave nidhibitiwe.....
 
Halafu nyamayo hanipendi hanipagi thanks wala kunikoti ila mimi nakupenda NYAMA.

Mpwa hiyo red unamaanisha nyamayao au ile uliyokuwa unaifakamia jana nusura ukabwe kama si juhudi za baunsa YoYo?
 
Nani muoga? hapana mie nilichelewa toka mkoani Fidel anaelewa! But nimeahidi next time must

Haya next time nitakuandalia special seat na creti la vinywaji linakuwa miguuni mwetu mezani chini.
 
hahahahahah teteteteh you make my day jamani yaani umenivunja mbavu zangu teh teh teh teh

Invisible hacheki nakalaptop kadogo kama vile vidaftari vya shilingi mia. Jicho moja kwenye glass moja kwenye thread.
 
Mmhh wakuu hiyo get together yenu kwa kweli inaonekana ilikua nzuri sana,binamu Chriss labda nikuulize,mlifanikiwa kupata picha ya pamoja kwa ajili ya ukumbusho?
 
aleluya!:d:d

Nyamayao umenifurahisha sana, naona nimepata pumziko la moyo....nilikuwa na bubujiko la moyo nitakutungia mashairi matamu nitaku pm kuna watu ambao sio wapwa watanakili wakutumie wanipeperushie ndege wangu.

kwa kifupi mimi ni mrefu nina ft 2 na robo nina miaka 46 na niko single so am experiemced staff in that field of LOVE.
 
Mmhh wakuu hiyo get together yenu kwa kweli inaonekana ilikua nzuri sana,binamu Chriss labda nikuulize,mlifanikiwa kupata picha ya pamoja kwa ajili ya ukumbusho?

Mkuu Nguli alikuwa photographer wetu. tatizo alivozidiwa na makonyagi, sijua kama baadhi ya picha zitatoka vizuri. Ila jibu ni kuwa TULIFANIKIWA!
 
Back
Top Bottom