Get tugedha ilifana na ilikuwa bomba

Get tugedha ilifana na ilikuwa bomba

Nyamayao umenifurahisha sana, naona nimepata pumziko la moyo....nilikuwa na bubujiko la moyo nitakutungia mashairi matamu nitaku pm kuna watu ambao sio wapwa watanakili wakutumie wanipeperushie ndege wangu.

kwa kifupi mimi ni mrefu nina ft 2 na robo nina miaka 46 na niko single so am experiemced staff in that field of LOVE.
hahaha!
dani za ANDANENGA zimekukaa!naona wewe ni BLUREI wa kiswahili
 
Nyamayao umenifurahisha sana, naona nimepata pumziko la moyo....nilikuwa na bubujiko la moyo nitakutungia mashairi matamu nitaku pm kuna watu ambao sio wapwa watanakili wakutumie wanipeperushie ndege wangu.

kwa kifupi mimi ni mrefu nina ft 2 na robo nina miaka 46 na niko single so am experiemced staff in that field of LOVE.


eehhh.....
 
Nyamayao umenifurahisha sana, naona nimepata pumziko la moyo....nilikuwa na bubujiko la moyo nitakutungia mashairi matamu nitaku pm kuna watu ambao sio wapwa watanakili wakutumie wanipeperushie ndege wangu.

kwa kifupi mimi ni mrefu nina ft 2 na robo nina miaka 46 na niko single so am experiemced staff in that field of LOVE.
Hiki ni kiBluray cha kiswahili,tafsiri yake ni MBA.
 
Mkuu Nguli alikuwa photographer wetu. tatizo alivozidiwa na makonyagi, sijua kama baadhi ya picha zitatoka vizuri. Ila jibu ni kuwa TULIFANIKIWA!

Ok thanks,good to hear that cousin,next time mtwambie na sisi wengine japo tuwapigie simu ili tuongee.
 
Ok thanks,good to hear that cousin,next time mtwambie na sisi wengine japo tuwapigie simu ili tuongee.

Hili lisikupe hofu utaambiwa tu naoana wakuu watakaa sijui next time iwe jmosi au j2 kama kawa?
 
laazizi wa moyo huyo, anaelewa wife napenda utani...lol

Kuna watu hawapendi kuona mishumaa ya wenzao iking'aa gizani mh! sipendi kuwa spare tairi ngoja nitafute mwingine. Na shairi nafuta
 
Back
Top Bottom