Get tugedha ilifana na ilikuwa bomba

Get tugedha ilifana na ilikuwa bomba

Nampongeza STEVE D kama legend pekee aliyeamua kujiunga nasi tafadhali fikisha salamu zangu za dhati kwa wengine hapo juu nitakuja kuwatembelea siku nikipanda cheo kazini(nikija kwa semnia i mean.)

...hapo itabidi nimkontakt invizibo kwa maelezo zaidi naona unagongelea msumari kwa sana. uzuri leo jamvi ni full kujiachia maana robot kesha rescind ban zote!!
 
...hapo itabidi nimkontakt invizibo kwa maelezo zaidi naona unagongelea msumari kwa sana. uzuri leo jamvi ni full kujiachia maana robot kesha rescind ban zote!!

kwanini usimkontakti nguli mwenyewe?
 
...hapo itabidi nimkontakt invizibo kwa maelezo zaidi naona unagongelea msumari kwa sana. uzuri leo jamvi ni full kujiachia maana robot kesha rescind ban zote!!

Hahaha! Tulikuwa naye jana, alilewa sana sijui kama mida hii ameamka!
 
...hapo itabidi nimkontakt invizibo kwa maelezo zaidi naona unagongelea msumari kwa sana. uzuri leo jamvi ni full kujiachia maana robot kesha rescind ban zote!!

Ufafanuzi: Mkuu wewe sijawahi kukuona kwenye "usitake n'ncheke threads" nakuonaga kule kwa majukwaa ya LEGENDS/ SIASA leo tunajuvunia kuwa na wewe sasa nashangaa watu hawagongi thanks kwangu kamefutika hako katufe kumbe na wewe ukiamua ni mcheshi te te te te!
 
Ufafanuzi: Mkuu wewe sijawahi kukuona kwenye "usitake n'ncheke threads nakuonaga kule kwa majukwaa ya LEGENDS/ SIASA leo tunajuvunia kuwa na wewe sasa nashangaa watu hawagongi thanks kwangu kamefutika hako katufe kumbe na wewe ukiamua ni mcheshi te te te te!
hahahahahaha!
ila mimi simwamini huyu

ametajwa na kushukuriwa sana kwenye riport ya MEREMETA!huyu sina imani nae kabisaaaaaaa
 
huyu nyamayao atagombanisha watu siku moja!
 
Back
Top Bottom