Get tugedha ilifana na ilikuwa bomba

Get tugedha ilifana na ilikuwa bomba

Zimwage mkuu. Lakini ile wakati tunapigana busu na mchumba usiziweke tafadhali. Pombe zilinizidia.

ahahahaha.... Nguli zimwage tujue nani kafanya tabia mbaya....si vioja tulivovikosa!
 
mlijitambulisha kwa majina yenu haswa ama ilikuwa ni mambo ya JF....kila mtu na 'name tag' no questions asked?
naona tutaanza kufanya regional get tugedhas ndio sote tufaidi...ningependa kumuona Burn, Kaizer, YoYo, Xspin, nguli na wengineo...

Sisi ni wapwa na mabinamu. Tunapokutana tunatumia majina yetu halisi. Karibu, we tuPM tu ukitaka kuchanganya damu yako na yetu nawe uwe mpwa. Hahaha hivi wewe ni he au she? Hilo nalo muhimu sana.
 
Safi sana Dogo..nimeshabonyezza kale kakitufe...sasa jirani si unajua tena mambo yetu ya Kimara...next tyme nitaanzia kwenye reconnaisance ya venue kabisa...of course itahitahi approval ya mkulu Xpin na Nguli..... (nasikia na ZD itabidi awepo by default)

Yeah na ya mchumba wangu. Mi ndio mwenyekiti wa kamati ya maandalizi. Nguli mpiga picha, YoYo MC, Fidel Vinywaji, Carmel Mapambo na bwashee Geoff mapokezi na itifaki. ZD ni mlinzi wa mwenyekiti.
 
Sisi ni wapwa na mabinamu. Tunapokutana tunatumia majina yetu halisi. Karibu, we tuPM tu ukitaka kuchanganya damu yako na yetu nawe uwe mpwa. Hahaha hivi wewe ni he au she? Hilo nalo muhimu sana.

we achana na wasiwasi mwingi...nikifika utajua kama ni she/he...... umuhimu wake ndio nini? noana tayari utakuwa na mlinzi ZD?
 
we achana na wasiwasi mwingi...nikifika utajua kama ni she/he...... umuhimu wake ndio nini? noana tayari utakuwa na mlinzi ZD?

Hahaha! Ulinzi muhimu si unajua kuna kina Semenya? Jibu sasa we ni he au she?
 
we achana na wasiwasi mwingi...nikifika utajua kama ni she/he...... umuhimu wake ndio nini? noana tayari utakuwa na mlinzi ZD?

kwa hiyo utakuwepo next time?
 
Hahaha! Ulinzi muhimu si unajua kuna kina Semenya? Jibu sasa we ni he au she?


kina semenya? lol. poa kaka usiwe na shaka nikifika tu utajijazia! sitaki kumwaga mtama penye kuku wengi!!!!!
 
huyu ni HE!nilimuona uwanjani jumamosi anakojoa kwenye masinki ya kunawia uso😀

Hehehehehe! Bwashee unaua? Kwa mpango huo ngoja niachane na PM. Nilikuwa nataka kutest zali. Si unajua tena bwashee yale mambo yetu?
 
Hehehehehe! Bwashee unaua? Kwa mpango huo ngoja niachane na PM. Nilikuwa nataka kutest zali. Si unajua tena bwashee yale mambo yetu?
usijaribu!ai hope zd ameshaondoka online!😀
 
Thread imegonga 40. oclock! wapwa bwana mkiamua mnatisha
 
hapa nikiwa naongea na masanilo

 

Attachments

  • Picture1.jpg
    Picture1.jpg
    45.5 KB · Views: 86
Niruhusuni niweke picha zenu nimetanguliza zangu
 
Back
Top Bottom