Ave Ave Maria
JF-Expert Member
- Apr 22, 2011
- 10,707
- 5,678
Pole wee! Ntamwambia mchungaji Mwingira akuombee upone haraka!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ina maana Mkuu, unataka kusema hili linauhusiano na kaugonjwa ka bro? Maamuzi magumu??
daaa hata mimi ndo maana nikaamua kutangaza nia
nahisi hivyo aisee....manake yuko 'overcrowded'..lol
Preta,Hope you're feeling better.....
Everyone is so eager to have you back in action again, rise up and exercise those bones.........We miss hanging out with you.........Ever since you got sick, We haven't seen you anymore. Get well the soonest and let's hang
Mungu ni mwema kama alivosema JouneGwalu, atamsaidia kumchagua mmoja tu kupitia kwenye ndoto!!
sasa si bora ukamtangazia nia mtu ajijue??
mnawezeshwa,ili muweze sio????
nimeota huyo mmoja ni wewe lol
nahisi hivyo aisee....manake yuko 'overcrowded'..lol
Hahaha Hommie hebu twende tukakacheki haka kamjamaa inawezekana ugonjwa anaoumwa ni wa kukosa bia!Haka kamjamaa kumbe kanaumwa?
Lemme dial some numbers........
Ndo maana kaunta ya juu Castle za baridi hazipungui kaunta!
Hahahaha.......kanavyopenda biya........ waweza kuta kamekaukia bed!Hahaha Hommie hebu twende tukakacheki haka kamjamaa inawezekana ugonjwa anaoumwa ni wa kukosa bia!