dickson longo
JF-Expert Member
- Aug 10, 2011
- 232
- 52
Pole sana M/kiti. Mwenyezi Mungu akurudishie afya yako haraka iwezekanavyo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ubimwi sio?hahaha hommie hebu twende tukakacheki haka kamjamaa inawezekana ugonjwa anaoumwa ni wa kukosa bia!
C unakajua kanavyo mezaga castle light utafikiri TBL inafungwa!ubimwi sio?
Hili ndio balaa la kuomba discount mpaka kwa mama ntilie, Food poisoning mbaya wajameni. Tujitahidini
Get well soon. kamanda
Halaf faza wangu aliniusia "mwanaume haumwi" , kuna day nilimwambia naumwa alinilamba bonge la mkono.
no no no.....ondoa mawazo hayo.....