Geti la Airport lliivunjwa wakati wananchi wakitaka kumuaga Hayati Magufuli

KAZI zinazoonekana Kwa macho alizofanya Magu zinaonyesha Uzalendo wake juu ya nchi hii.

Kundi Hilo dogo linalohujumu Watanzania wasipige hatua kimaendeleo ndani na nje ya chama, litaondoka tu.

Ni suala la muda.
 
Walikamatwa watu sehemu nyingi Sana. Jiwe afe tena huko aliko
Usilolijua,

Mwili wa Magu umejitenga na Roho tu,

Magufuli halisi hajafa, na Bado anadai KAZI na maono alivyokuwa nayo juu ya nchi yatimie.

Tupo kuhakikisha, Ile Tanzania ya Magufuli inafikiwa.

Tusubiri.
 
Atakumbukwa kwa kazi nzuri ya kuwatanguliza wahuni motoni.

Binafsi nilipenda style yake ya kuwashughulikia wahuni.
KAZI ya kuhakikisha unagawanya raslimali za nchi Ili maskini nao wapate chochote Si KAZI ndogo.

Magu alijua kuwatia moyo maskini wafanye KAZI Kwa bidii Ili kujenga Nchi Yao.
 
Jiwe kishakufa. Tena alikufa kizembe sana. Hata muandike mpk server ya jamiiforums ijae hafufuki.

Acheni uwongo. Watanzania kila Kona ya nchi walitaka kuchinja mbuzi ili kufurahia kifo cha dikteta jiwe lkn polisi wakaanza kuwakamata.
 
MKuu utaliza watu usiwakumbushe majonzi leo hii mpuuzi mmoja anasimama kwenye mimbari na upara wake kama tako fyoko fyoko!
 
Rest assured.

Magulification will go on.

Aluta Continua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…