Mkaruka
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 19,629
- 34,199
Hawa ndio wanaotafuna keki ya taifa halafu kutwa kujifanya waharakati uchwara.huyu Getu mwanae ni mkuu Wa mkoa Wa arusha, john mongela
Mwanaye John Mongela anabebwa kuwa RC huko Arusha.
Wameshiba, wamebaki kupiga domo tu.
Yale yale ya kina Maria Sarungi