Ghafla huyu anayejiita Mzee Mpili eti kawa maarufu

Ushirikina upo uamue kuamini au usiamini upo?

Tulizoea kuona wachawi wakiukana hadharani na wakiufanya gizani ndo maana hatuwaoni, sasa huyu mzee anajisema waziwazi ndo hicho kimekua habari kubwa.

Wewe akili weka kichwani mwako usiangukie tu huko na kuanza kuupractice!! Ila upo.
 
alisikika shabiki wa simba mwenye uchungu na timu yake. ukweli ni kwamba mambo ya mpili ni mind game tu hamna uharisia, ila tu ni ku take attention ya timu pinzani na kuwafanya wapunguze confidence
Hahaha...ww una akili ndugu,
Lkn tusifanye mind game kwa kutukuza ndumba.
 
Jifunze kujenga hoja bila kumdharau unayepingana naye,itakusaidia maishani.
 
Umeegemea upande mmoja tu wa ushirikina, huenda ndiyo lengo la hoja yako.

Kwangu mimi naiona hii promo ni upepo tu kama kina Pierre Likwidi na Dr Shika.

Hapo ndo unaona Watanzania ni watu wa matukio ya aina gani, na hata vyombo vyetu vya habari ni kukuza upuuzi tu 24/7.

Leo Mzee Mpili mahojiano kila kona na hachelewi kuwa balozi wa kampuni fulani fulani uchwara.
 
Mzee Mpili si ameingia na kiki ya mzee wa kazi πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
 
Kuna wajinga wataenda hadi uko ikwiriri akawatatulie shida zao kwa njia za kishirikina,na hivi ana sauti Fulani ya mkwara ya kuita majini,lazima awapige wazembe uyu muhuni wa mzizima, hawezi kuwaacha salama, kama babu wa loliondo.
Hahahaahahaha atawatandika hela kweli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…