Hahaha...ww una akili ndugu,alisikika shabiki wa simba mwenye uchungu na timu yake. ukweli ni kwamba mambo ya mpili ni mind game tu hamna uharisia, ila tu ni ku take attention ya timu pinzani na kuwafanya wapunguze confidence
Jifunze kujenga hoja bila kumdharau unayepingana naye,itakusaidia maishani.Kwa akili yako ndogo unahisi kila mtu anayemshabikia Mzee Mpili anaamini ushirikina?mfano kwa upande wangu namkubali Mzee Mpili kwa kuongea kwake kwa kujiamini bila kuogopa mtu na kufanya kuleta Raha kwa Yanga na labda nkuulize Manara anavyosemaga Simba itashinda kwa goli 3 na kuendelea dhidi ya Yanga naye pia ni mshirikina?
Umaarufu wake mwisho tarehe 24/7/2021.Yule mzee lazima amuoea Wema Sepetu maana sio kwa umaarufu huu
Mzee Mpili si ameingia na kiki ya mzee wa kazi π π πHii nchi ya Tanzania ukiamua kufa kwa stress au umasikini basi utakua umejitakia mwenyewe.
Unaweza kiutani utani tu ukawa maarufu na ukapiga pesa. Huyu anajiita Mzee Mpili eti kwa sasa ni mtu maarufu Tanzania, anaalikwa hadi na vituo vya redio kubwa maarufu kama wasafi FM.
Anyway hua wanapita, walianza akina Dokta Shika, akaja mchungaji anayekata mauno, akaja Pierre Likwidi, na sasa Mzee Mpili..mnaweza shangaa akapata hadi ubalozi wa kampuni kubwa. Maisha haya bwana! Watu wanajua kucheza na alama za nyakati.
Hahahaahahaha atawatandika hela kweliKuna wajinga wataenda hadi uko ikwiriri akawatatulie shida zao kwa njia za kishirikina,na hivi ana sauti Fulani ya mkwara ya kuita majini,lazima awapige wazembe uyu muhuni wa mzizima, hawezi kuwaacha salama, kama babu wa loliondo.
Mbona umepanik bibie, wewe buzi lake nini , usiwe na wasi hauibiwi buzi lako la kukuweka mjini.Jogoo jike wivu umekushika, njoo upandwe!