mmh
JF-Expert Member
- Nov 9, 2010
- 2,910
- 5,084
Ushirikina upo uamue kuamini au usiamini upo?
Tulizoea kuona wachawi wakiukana hadharani na wakiufanya gizani ndo maana hatuwaoni, sasa huyu mzee anajisema waziwazi ndo hicho kimekua habari kubwa.
Wewe akili weka kichwani mwako usiangukie tu huko na kuanza kuupractice!! Ila upo.
Tulizoea kuona wachawi wakiukana hadharani na wakiufanya gizani ndo maana hatuwaoni, sasa huyu mzee anajisema waziwazi ndo hicho kimekua habari kubwa.
Wewe akili weka kichwani mwako usiangukie tu huko na kuanza kuupractice!! Ila upo.