Ghafla, Mademu Wamekuwa Wapole Mno!

Ghafla, Mademu Wamekuwa Wapole Mno!

Mkereketwa_Huyu

JF-Expert Member
Joined
Feb 19, 2011
Posts
9,836
Reaction score
7,231
Kuelekea siku kuu ya wapendanao wiki hii, mademu wengi sasa wamekuwa wanyonge. Yaani wengi wao wamekuwa wapole haswa wale wasio na boyfriends, walio wengi kwa sasa wanaokotwa tu kama kuku walio na mdondo.

Unatongoza asubuhi mchana unachapa kiulaini tena haulipi, imekuwa kama zamani. Wataalam wanasema hii inatokana na stress za kuwa single muda mrefu na pia wamejirudi katika uhalisia na kuachana na maisha fake waliyokuwa wakiendekeza. Karibuni wanawake[emoji1539]
 
Ila Mimi napenda mademu wawe wapiga vizinga hasa haswa.

Maana wasipokuwa na vizinga vikali,Kuna baadhi ya wanaume tunaanza kuwatumia hovyo.

Unakuta mtu anapiga watatu kwa siku.

Haya ni matumizi mabaya ya binadamu.

Demu anakupa mzigo,anatokea kukuelewa sana,kesho yake anakuja bila taarifa anakukuta na mwingine ndani.

Analia na kujilaumu sana,mwisho wa siku anasema wanaume wote ni mbwa.

WADADA ENDELEENI KUPIGA VIZINGA,HATA VYA MILLION
 
Ila Mimi napenda mademu wawe wapiga vizinga hasa haswa.

Maana wasipokuwa na vizinga vikali,Kuna baadhi ya wanaume tunaanza kuwatumia hovyo.

Unakuta mtu anapiga watatu kwa siku.

Haya ni matumizi mabaya ya binadamu.

Demu anakupa mzigo,anatokea kukuelewa sana,kesho yake anakuja bila taarifa anakukuta na mwingine ndani.

Analia na kujilaumu sana,mwisho wa siku anasema wanaume wote ni mbwa.

WADADA ENDELEENI KUPIGA VIZINGA,HATA VYA MILLION

Serikali awamu ya tano tunaomba huyu kaka alindwe usiku na mchanaaaaa
 
Back
Top Bottom