T14 Armata
JF-Expert Member
- Mar 7, 2017
- 12,362
- 41,886
Hawa watu ni "mafala" sana. Yani ukiwauliza sababu ya kuunda mkoa mpya wanataja neno Magufuli. Angewaambia sasa wanaume anza kuvaa sidiria hawa wapuuzi wasio na akili wangevaaYaani mkoa uundwe, taifa liingie kwenye gharama za kuwalipa mishahara ya viongozi wa mkoa kisa tu tunataka kulienzi jiwe?
Wanaudhi kufosi ionekane serikali kuanzia awamu ya 5 kuwa wamefanya makubwa kuliko awamu zilizopita kitu ambacho sio sahihi kwa sababu hizi awamu 5&6 zimejaa propaganda nyingi za sifa na kuabudu kuliko kueleza uhalisia na changamotoHitajibiwa mkuu. Hawana hiyo akili.
Yule mzilankende uchaguzi wa wabunge aliangukia pua mpaka Mkapa alipokuja kumshika mkono akatenga jimbo ndio kipande kimoja akagombea. Ndio maana hadi leo alikuwa haamini kwenye upinzani utasikia anadai wapinzani walituchelewesha. Na ndio maana aliamini kwenye kutenga maeneo na kuleta ukabila na ukandakubalini tu mwendazake hayupo tena.
Leo ndio wamekuwa na upendo kwa eneo la mpakani siku zote wakituburuza.Faida za hiyo Nickel haziwezi kupatikana bila kuanzisha MkoanMpya ?
Basi angeanzisha nchi Mpya kabisa hapo Chato
Uelewa wako unakutuma kuwa na mawazo haya. Fikiria kwa kina zaidi.Yaani mkoa uundwe, taifa liingie kwenye gharama za kuwalipa mishahara ya viongozi wa mkoa kisa tu tunataka kulienzi jiwe?
Mazingira na sababu za kuitaka Chato ni tofauti na kuivunja hiyo mikoa mingine.1.Hebu tuambie kwanini tuwe na mkoa mpya kwa kumega maeneo kutoka sehemu nyingine?
2. Kama shida ni kupata mkoa mpya kwanini tusianze kuigawanya ile mikoa mikubwa kieneo ie Tabora, Morogoro au Mtwara?
3.kwanini Chato, Je ni kulinda legacy Kama ni kulinda legacy kwanini tusianze na Butiama, Msoga, Lupaso au Mkuranga?
Pole mwenyeji wa Bukoba.Huna hoja Unasumbuliwa inferiority complex
Tunaondokana na urasimu wa Bukoba.Ushawahi kuwaza ikitokea huko wilaya za bukoba nako wakigundua madini yenye thamani kuliko nikel au hiyo deposited ikiisha mtajimega tena chato kurudi bukoba,
Achaa kuchochea ubaguzi
Wewe Mhaya roho inakuuma unaandika haya maneno yako, pole sana.Hawa watu ni "mafala" sana. Yani ukiwauliza sababu ya kuunda mkoa mpya wanataja neno Magufuli. Angewaambia sasa wanaume anza kuvaa sidiria hawa wapuuzi wasio na akili wangevaa
Kwani mikoa ya Manyara na Katavi ilianzishwa na Magufuri ?Yule mzilankende uchaguzi wa wabunge aliangukia pua mpaka Mkapa alipokuja kumshika mkono akatenga jimbo ndio kipande kimoja akagombea. Ndio maana hadi leo alikuwa haamini kwenye upinzani utasikia anadai wapinzani walituchelewesha. Na ndio maana aliamini kwenye kutenga maeneo na kuleta ukabila na ukanda
Nchi hii imejaa wapuuzi sana mkuu. Watu tuliowatanguliza mbele ni hovyo tu. Yaani mikoa mikubwa kabisa imeachwa wanaenda kulazimisha kitu kwa ajili ya kumfurahisha mtu1.Hebu tuambie kwanini tuwe na mkoa mpya kwa kumega maeneo kutoka sehemu nyingine?
2. Kama shida ni kupata mkoa mpya kwanini tusianze kuigawanya ile mikoa mikubwa kieneo ie Tabora, Morogoro au Mtwara?
3.kwanini Chato, Je ni kulinda legacy Kama ni kulinda legacy kwanini tusianze na Butiama, Msoga, Lupaso au Mkuranga?
Kwaiyo unafikiri matatizo hayo yapo ngara tu?, Je una uhakika gani kuiamishia Chato utakua umemaliza tatizo?Mazingira na sababu za kuitaka Chato ni tofauti na kuivunja hiyo mikoa mingine.
Bukoba inaendeleza historia na ufahari wa wachache kwa faida yao na sio kwa faida ya waliokuwa wengi.
Ni sawa na Ngara yenye siasa za wahangaza na washubi zinavyoinyima wilaya kukua kiuchumi na kustawi zaidi.
Maendeleo yakitaka kupelekwa Bushubi mizengwe ya kila aina inaanzishwa na eneo linabaki na umaskini wake.
Sasa hivi nchi wameiharibu kweli, kila kitu ni kusifu tu hata kama ni upuuusiNchi hii imejaa wapuuzi sana mkuu. Watu tuliowatanguliza mbele ni hovyo tu. Yaani mikoa mikubwa kabisa imeachwa wanaenda kulazimisha kitu kwa ajili ya kumfurahisha mtu
Tungeanza na Lindi na Morogoro kwanza Kagera mbona eneo lake ni dogo sana?
Kama vipi ichukueni Malinyi ya Morogoro na Liwale ya Lindi muunde Mkoa wa Chato...mbona Reunion ni sehemu ya Ufaransa, it is very possible.
Umeshawahi kufika Chato? Kama haujawahi fanya upite Mkuu, yenyewe tuu kama yenyewe inahitaji msaada sasa vipi ukiifanya Mkoa?Mulokozi tunajua unaumia sana lakini utazoea tu,Ngara na Biharamuro zinaondoka hivyo kurudi Chato.
Wewe ni mjinga Kanda ya ziwa ndiyo ina watu na ndiyo eneo ni kubwa mno hv nyie timu Gaidi mbona kwenu mkoa ni mdogo na ndiyo Siri pia mafanikio yenu lakini mnajifai hamuoni1.Hebu tuambie kwanini tuwe na mkoa mpya kwa kumega maeneo kutoka sehemu nyingine?
2. Kama shida ni kupata mkoa mpya kwanini tusianze kuigawanya ile mikoa mikubwa kieneo ie Tabora, Morogoro au Mtwara?
3.kwanini Chato, Je ni kulinda legacy Kama ni kulinda legacy kwanini tusianze na Butiama, Msoga, Lupaso au Mkuranga?