Ghafla tu Ngara na majimbo mengine yanatetewa yabakie Kagera, sababu ni Kabanga Nickel

Faida za hiyo Nickel haziwezi kupatikana bila kuanzisha MkoanMpya ?
Basi angeanzisha nchi Mpya kabisa hapo Chato
Tatizo umesikia neno chato unabaki kuhisi muwasho kweye makalio

Ungesikia kigoma au ngara yenyeqe ungetikisa mkia kama mbwa aliyemuona chui.
Mtabaki na hasira ila ipo siku mtatulia tu kimyakimya na mtaenda vhato kutafuta mahitaji yenu.
 
Ni unafiki wa kiwango cha SGR Muhaya kujifanya anaipenda Ngara wakati siku muhaya anamwita mhangaza mrundi
 
Sasa mbona na wewe ni yale yale unamcheka mwenzio nini sasa “unatuchannya” “darasa la Sana” [emoji3][emoji3][emoji3]
Darasa la Saba, ya kwangu ni 'predictive text" ya smart phone.
 
Kwa muktadha huo basi makao makuu ya Mkoa yawe Biharamulo na siyo Chato
 
Tatizo umesikia neno chato unabaki kuhisi muwasho kweye makalio

Ungesikia kigoma au ngara yenyeqe ungetikisa mkia kama mbwa aliyemuona chui.
Mtabaki na hasira ila ipo siku mtatulia tu kimyakimya na mtaenda vhato kutafuta mahitaji yenu.
Yule Marehemu Dikteta Mwendakuzimu angekuwepo angewaamrisha Mvae Bikini na Mngevaa Qmamae zenu
 
Sio sababu kuu, Ila inaweza kuwa moja wapo ya sababu. Lakini hebu tufikirie tena kidogo, kwa sababu huo mkoa utakuwa na idadi kubwa ya wakazi wenye asili ya Rwanda na Burundi ambao walikimbia nchi zao. Je haiwezi kutokea siku moja hawa watu wakataka kujitenga na Tanzania au sehemu yao kuirudisha kwenye moja wapo ya nchi hizo, serikali chini ya vyombo vyake vya usalama nadhani watalichukulia kwa uzito pia suala hili.
 
Ila na kule Kwa gaidi wanasema chasaka badala ya mnyamahanga
 
Thanks Tundu
 
Trafiki light sehemu ya mkokoteni ni suala la kawaida. Sijui kama uliwahi kuziona picha za Albania ya miaka ya 1980 wakati punda wakikatiza katikati ya mtaa halafu linganisha na hizi za leo hii uione tofauti kubwa.

Chato ya 2040 ni tofauti na hii ya 2020. Bukoba wamejisahau kwa kuwa makao makuu ya mkoa wa Kagera.
 
Kagera kuendelea kuishikilia Ngara ni uendelezaji wa mkoa usiokuwa na maendeleo wala tija kwa wakazi wa Ngara na tarafa zake mbili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…