Ghalib wa GSM atoa vielelezo kuthibitisha Umiliki wa Kiwanja na Nyumba. Aagiza wanasheria kumchukulia hatua anayepotosha umma

These are stupid dots.Tuambie unayojua maovu aliyofanya Hayati Magufuli.Hamchoki tu,mnapaka matope hata marehemu!You are so evil.Ni uzuchi tu na kusingizia watu.
 
Huyu mwanasheria ni poyoyo, huo ushahidi wa GSM ni wa kubumba maana mwenzake kaleta ushahidi wa tangu 2013. Pamoja na udhaifu wa Makonda hapo Riziwani Kikwete anahusika na hii kitu nawahakikishia itakuja kumgharimu yeye na huyo GSM.
 
Dah akili kubwa imefanya yake
 
Hahah!

Huyu jamaa si juzi tu alikuwa miongoni mwa waombolezaji kwa msiba wa hiyo familia...

Kumbe nyuma ya pazia ni mkwapuaji wa mali za watu...
 
Huyu mwanasheria ni poyoyo, huo ushahidi wa GSM ni wa kubumba maana mwenzake kaleta ushahidi wa tangu 2013. Pamoja na udhaifu wa Makonda hapo Riziwani Kikwete anahusika na hii kitu nawahakikishia itakuja kumgharimu yeye na huyo GSM.
Makonda naona huu usemi wa "bora upoteze hirizi kuliko kufiwa na mganga" sasa hivi unauelewa vizuri sana, rudisha kiwanja hicho acha kelele
 
Inawezekana kutokana na changamoto za awamu ya tano ilibidi kweli GSM wamkabidhi kiwanja Paul Makonda wakakubaliana wa backdate tarehe isomeke 2013 kabla ya Makonda kupata Presidential appointment ambayo inamlazimu ku declare kila mali anayomiliki


Inawezekana pia baada ya JPM kutokuwepo na baada ya kupata baraka za Mamlaka mpya imebidi arudishiwe plot yake

Maana naskia za chinichini wale wote walioporwa mali zao kwa dhulma au kufungwa kwa uhujumu uchumi wanaendelea kuachiwa

Kwanini GSM hataki kueleza mazingira yoyote yaliyosababisha Makonda alazimishe kuwa hicho kiwanja no chake

Kwanini wote Makonda na GSM hawataki kwenda Mahakamani badala yale wote wanashinda kwny mitandao kutulisha story za uongo na kweli

Wote Gharib na Paul kuna ka sehemu muhimu wana ki skip kwny story yao ni sawa na ile story ya Mama Mkwe na Mka mwana kutuhumiana uchawi kwa kuwa walikutana kwa Mgang na kila mmoja hataki ijulikane
 
Wewe umeongea pointi. Ndiyo maana ushahidi wa GSM ni wa kubumba
 
Ukweli mchungu ni kuwa GSM alitoa kiwanja kweli kwa bashite kwa makubaliano wanayoyajua wao.
Ila sasa hivi wanakihitaji tena kwa sababu wanazojua wao, Ila mfanikishaji wa haya ni prince wa yule mzee wetu.
Vita vya wanasiasa havina mwisho mzuri. Ila polr yake bashite, prince anamkomalia sana tatizo ni ule uswahiba wake na mama. Bila hivyo pangechimbika zaidi
Wale waswahili huwa hawasamehi, kisasi ni haki kwao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…