Ghalib wa GSM atoa vielelezo kuthibitisha Umiliki wa Kiwanja na Nyumba. Aagiza wanasheria kumchukulia hatua anayepotosha umma

Maksudi amkomoe nane nyie hamna akili na marehem mungu wenu?? Unapora ardhi hati hufuatilii unajua mungu atakuwepo miaka yote watoto wa mjini wamemuonesha picha,hii sasa inaenda kufikua makaburo yote kams mwenzie saabovu!!
 
Bashite na Sabaya sio Maguli na hawakufanya waliyofanya kwa maelekezo ya Magufuli.Pia kumbuka kwamba no President can be everywhere at the same time.Zako Ni accusations za kijinga zinazochangiwa na chuki zinazoambatana na uovu.
Magufuli alijuw anapenda kufanya kazi na watu wenye haiba yake. Yote waliyotenda akina Aanaya, Makonda, Chalamila, Luhaga Mpina, Mnyeti, Mrisho Gambo, yalikuwa na Baraka zake. Alipenda mijitu isiyotumia akili kwa vile mwenyewe alikuwa katili
 
Lakini kuna vitu vinachanganywa kwenye hii habari.Mfano naona mara wameingia mkataba na Group 6 mwaka 2019, mara3 nyuma zaidi,mara GSM alimiliki kiwanja hicho kuanzia 2016 , kwingine 2006.Mbona lugha gongana?

Hlf kwamba ardhi ni ya rais na mtu anapewa lease ya miaka 30 au 100 nk, je haizuii kuuziana?

Na mbona suala la disposition ya land kati ya watu lipo kisheria na lina taratibu zake?

Mbona kamkataba kameoneshwa? Labda ishu iwe kwamba taratibu za disposition hazikukamilika ndio maana details za mmiliki wa zamani bado zinasoma.Sasa hiyo issue si curable?

Au GSM anatumia loopehole hiyo ku reclaim kiwanja chake? Bs story inyooke.

Am just trying to be objective sina nasaba yoyote na Makonda wala GSM.
 
Ni lazima akomae sababu akishindwa na mmoja wengine wataibuka kumnyanganya.
 
Magufuli alijuw anapenda kufanya kazi na watu wenye haiba yake. Yote waliyotenda akina Aanaya, Makonda, Chalamila, Luhaga Mpina, Mnyeti, Mrisho Gambo, yalikuwa na Baraka zake. Alipenda mijitu isiyotumia akili kwa vile mwenyewe alikuwa katili
Lete ushahidi kwamba yote waliyofanya akina Mpina nk.yalikuwa na baraka zake.Short of that haya yatabaki kuwa majungu,uzushi, uongo na chuki binafsi.
 
Wwfanyabiashara huwa wanaonewa sana na kutishwa kwa kutoa bakhshish kila wakati
Vijana muwe mnaridhika na kazi na majukumu mliopewa na kujali maisha yenu

Hata wakubwa pia ridhikeni na maisha yenu msilazimishe kuwa na maisha ambayo hamjayatolea jasho

Sasa huyo dogo kama alikuwa na maisha ya raha kuliko sisi wote vipi tena analilia mali za wanaume?

Get a life boy
 
Possibly Makonda hakufanya transfer kwa kua labda alikua anatafuta wasaa mzuri wa kulipa capital gain tax (labda) ingawa muuzaji ndio anapaswa kulipia CG.

So jamaa baaada ya kuchungulia na kugundua kuwa bado hajafanya transfer wakaamua kulianzisha maana wana support kubwa toka kule mkoa wa pwani.
 
Huwa matajiri wa afrika hawaheshimiwi huko nje hata siku moja. Utajiri wao hutegemea nani yupo ikulu na wanaiva vipi nae.

Afrika ni bara limejaa matajiri wa misimu, wengi wao wana mambo mengi ya chini kwa chini na hujulikana inapotokea kiongozi mpya anapokuwa kakalia kiti cha ikulu.
 
Maanina walitaka kuleta uhuni kwenye mpira wakakutana na Barbara Gonzalez akawaharibia mazima.

Huyo Gharib anaonekana mhuni fulani wa chini chini. Hana spirit ya mtu mstaarabu.
 
K
Magufuli alijuw anapenda kufanya kazi na watu wenye haiba yake. Yote waliyotenda akina Aanaya, Makonda, Chalamila, Luhaga Mpina, Mnyeti, Mrisho Gambo, yalikuwa na Baraka zake. Alipenda mijitu isiyotumia akili kwa vile mwenyewe alikuwa katili
Kwaiyo sasahivi police wanavyoua watu na kuwanyanganya mali zao Samia anausika? acheni vitu vya kijinga kumuhushisha Magufuli na ujinga,

Nchi hii ni kubwa sana hauwezi futilia kila Mtu,kuna Wakati mlikuwa mnalalamika Wakati anatumbua watu,kuwa Magufuli hafuati utawala wa sheria,amewaacha eti Magufuli amelinda watu wake,bure kabisa wanadamu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…