Ghalib wa GSM atoa vielelezo kuthibitisha Umiliki wa Kiwanja na Nyumba. Aagiza wanasheria kumchukulia hatua anayepotosha umma

Kama uliishi kimagumashi kujipatia mali basi, zitarudi kwa style hiyo
Watajuana wenyewe wote wazee wa rafu

Ova
 

Usihalalishe dhulma mkuu

Hapo inajulikana watu huwa wanadhulumiwa sana na viongozi kwa simu moja tu

Africa ni njaa za viongozi kutaka kuendesha V8 kisa tajiri analo

Watu wanapambana miaka na miaka kazi za siku 7 halafu mtu anapata kazi serikalini anataka awe sawa nae kwa mwaka wa kwanza tu

Tukemee hawa watu wanaopata madaraka na vyeo na kuanza kuonea watu
 
Gharibu naye Aache ujanja ujanja wa kujipendejeza kwa viongozi Ili Mambo yake yafanikiwe,,Makonda sawa anayomakosa yake Lakini Gharibu Naye SI mtu mzuri...
 
Gharibu naye Aache ujanja ujanja wa kujipendejeza kwa viongozi Ili Mambo yake yafanikiwe,,Makonda sawa anayomakosa yake Lakini Gharibu Naye SI mtu mzuri...

Gharibu ni mtu mzuri ndio maana rafiki yake Jakaya Kikwete!!

Makonda anasema wana apartments zao wako ubia huko Masaki!!!

Ameisha anza kumwaga mboga kabla hata hakujakuchwa!!
 
Hili suala ni Kama linataka kummaliza kijana wetu.
 
Bashite na Sabaya sio Maguli na hawakufanya waliyofanya kwa maelekezo ya Magufuli.Pia kumbuka kwamba no President can be everywhere at the same time.Zako Ni accusations za kijinga zinazochangiwa na chuki zinazoambatana na uovu.
Mwambie mheshimiwa Jaji unamzungua Magufuli yupi? Yule ambae aliapa kupambana na mafisadi wote? Akaweza kutatua mpaka kesi za viwanja vya kina mama Igunga asione kiwanja cha mamilioni Dar? Unazungumzia Magu ambaye alikuwa na kamati na ulinzi na usalama kila wilaya? Unamzungumzia Magufuli ambaye alimwaga usalama kila kona kupata info?

Mwambie mheshimiwa Jaji kama hatukuwahi kupiga kelele juu ya uovu wa Bashite kisha akatujibu hadharani Yeye ndio Rais hatuwezi kumpangia
 
Hiyo timu ya walinzi wa taifa ilikuwa wapi katika awamu ya 6 kufanya kazi ili kuzuia ujambazi wa hao akina sabaya na makonda, na yule baba yao mwendazake?
 
Daah makonda hakika hana akili
 
Bashite!!!
 
Alafu ndo utasikia serikali ya JEIII PII EMM ilikua haina mafisadi hasa sasa huyo mende wa Chooni kweni Paulo Makondakta uozo wake mmeshaujua kundi zima la MATAGA na SUKUMA GANG[emoji57][emoji57]MamaQe
 
These are stupid dots.Tuambie unayojua maovu aliyofanya Hayati Magufuli.Hamchoki tu,mnapaka matope hata marehemu!You are so evil.Ni uzuchi tu na kusingizia watu.
Muulize ben saanane
 
Haya magenge ya kimafia yana mtandao mpana, kuwa na polisi wao, mawakili wao, mahakimu wao.

Ni kitu cha kawaida sana, waziri mastermind anacheza na akili za watanzania aombe mungu ampe maisha marefu.

Ili aje kuona rewind ya haya mapichapicha. Sasa hawezi kuona maana yeye ni mungu mtu.
 
Huyu mwanasheria ni poyoyo, huo ushahidi wa GSM ni wa kubumba maana mwenzake kaleta ushahidi wa tangu 2013. Pamoja na udhaifu wa Makonda hapo Riziwani Kikwete anahusika na hii kitu nawahakikishia itakuja kumgharimu yeye na huyo GSM.
Huu ndiyo uharisia GSM wasjione wako juu ya WATANZANIA kabisaaaa ndiyo makonda anamadhambi yake basi ahukumiwe kwa madhambi yake ila Riz1 kama kahusika juu ya hili basi hana budi ajitathimini.

Huu ukoo wa GSM ni laana unapaswa kufutiliwa mbali sivyo utatuendesha WATANZANIA kila uongozi unapobadirika.

Wao ni kina nani kila UTAWALA uwe mifukoni mwao????

Tutatetea TANZANIA siyo waharifu kama GSM au MAKONDA.

Kila mtu apate HAKI yake,GSM chunga sana umafia ulio nao watu wanaujua hivyo kukuondosha kwa heshima ya NCHI hii inawezekana,utakimbia tena nchi hii!!!
 
Huyu mwanasheria ni poyoyo, huo ushahidi wa GSM ni wa kubumba maana mwenzake kaleta ushahidi wa tangu 2013. Pamoja na udhaifu wa Makonda hapo Riziwani Kikwete anahusika na hii kitu nawahakikishia itakuja kumgharimu yeye na huyo GSM.
Huyu kaleta ushahidi wa 2006, wewe unasema w 2013

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…