GHANA overtakes Lazy Tz after Rebasing economy

GHANA overtakes Lazy Tz after Rebasing economy

Habari ndio hiyo, watashindwa na viinchi vidogo vidogo huku wakiwa na kila kitu. Uzembe ni laana mbovu...
UMesoma kilichoandikwa na kuelewa au umekopi aliyoandika huyo mleta thrd? Uzemebe wa kusoma. Wapi wanaeleza kuipita TZ. Namba zinakufanya ushindwe hata kusoma na kuamua kusema sawa! Fine tune your thinking!
 
UMesoma kilichoandikwa na kuelewa au umekopi aliyoandika huyo mleta thrd? Uzemebe wa kusoma. Wapi wanaeleza kuipita TZ. Namba zinakufanya ushindwe hata kusoma na kuamua kusema sawa! Fine tune your thinking!
Mbona wanaTz mnashindwa kuelewa simple logic, ama ni living in Denial?. Ghana imeshawapita, Ghana’s current GDP ni $ 58.9 Billion, Tz $ 52 billion


“The rebasing means that current GDP value including oil is estimated at 256.67 billion cedis ($58.9 billion), up from 123.65 billion cedis”
 
Aisee...naona sijui mwenzako akifaulu ndio sababu za watu kukutukana?

Ghana kufanikiwa sio tiketi ya kutukana wengine!

Let people prosper...There is room for everybody to be successful,why kupakana?

Tutafanikiwa wote,SA,Nigeria,Egypt,Angola,Kenya,Ghana,etc mnafanikiwa na sisi tunafanikiwa tutawakuta na kuwavuka kwa zamu!

Empires come and go....The issue ni how you bahaved when on top!

India was the biggest economy on earth for 5,000years straight.Greece was on top for several millenia,United Kingdom was the shit on 17th,18th,19th and 20th centries....Who will ever think they would be this poor now?

Japan was the shit for nearly 10 centuries over China but now China is the real deal worldwide!

Kenya is the shit in EA now,so is Ehtiopia and TZ creeping on their backs...One small mistake and you are in deep shit my friends!And that doesnt mean it is a bad thing....NI kutesa kwa zamu....The law of Peaks and valleys...

I love Kenyans, they always love to harass TZ and this is good for us....It is funny they do respect Ugandas alot who are even poorer than us,I do not know why KE is scared of UG that much?!!While UG respects TZ like no other,maybe because we bailed them from Amin,something like that....
Lol.... You're poorer than Uganda
FB_IMG_15445376442245190.jpg
 
Using big economic calculations, no matter how pedestrian, will not save you from the obvious.
If Tanzania's GDP is as close to Kenya as you say, your revenue collection would not be half Kenya's.

You may sit down in an office to cook data, but at the end of the year, the amount of money generated will be known.

And that is just revenue, not to mention every other metric known to man, that shows Tanzania is miles behind Kenya.
Your true GDP is likely even below what your government statistics cooking department claims its is.
Very true. This year their net exports was a negative whilst that of Kenya was a positive. Now,who cooks data btwn the two?
 
Lol.... You're poorer than UgandaView attachment 967018


Yaani wewe dada,unajuaje kuwasakama Wabongo!!!

Duh

Hiyo ni idadi ya watu wanaoishi kwenye umasikini...kwa population yetu ya 60mil people naona hatujafanya vibaya sana...Japokua we need to do a better job to lift these people to the other side!

Cha ajabu poverty ratio zetu ni sawa kabisa..yaani ukichukua idadi ya masikini ukigawanya kwa total population unapata ratio sawa.

Yaani:

Uganda: 14.2mil/42.86mil*100%=33.1%
Tanzania : 19.9mil/60mil*100%=33.2%


Walao kwetu gap ya two divide sio kubwa sana kama Kenya,yaani Kenya ukiwa masikini unaweza usitoke huko kabisa maana akina Jimmy Wanjigi wapo mbali sana na wewe Wanjiku!

Yaani Wakenya bana,mnapenda ku-harass watu,duh!
 
Yaani wewe dada,unajuaje kuwasakama Wabongo!!!

Duh

Hiyo ni idadi ya watu wanaoishi kwenye umasikini...kwa population yetu ya 60mil people naona hatujafanya vibaya sana...Japokua we need to do a better job to lift these people to the other side!

Cha ajabu poverty ratio zetu ni sawa kabisa..yaani ukichukua idadi ya masikini ukigawanya kwa total population unapata ratio sawa.

Yaani:

Uganda: 14.2mil/42.86mil*100%=33.1%
Tanzania : 19.9mil/60mil*100%=33.2%


Walao kwetu gap ya two divide sio kubwa sana kama Kenya,yaani Kenya ukiwa masikini unaweza usitoke huko kabisa maana akina Jimmy Wanjigi wapo mbali sana na wewe Wanjiku!

Yaani Wakenya bana,mnapenda ku-harass watu,duh!
😀😀no hard feelings tho.usiwe na wasiwasi.
 
Very true. This year their net exports was a negative whilst that of Kenya was a positive. Now,who cooks data btwn the two?

Everybody cooks data,especially Kenyans..

TZ we even dont bother to collect them to begin with....!And this I'm not pride of course!

Exports jiwe na CCM yao wametuzengua big time....!

Kenya shukuruni Mungu hamna dude linaitwa CCM,this devilish thing is keeping us innocent hardworking people of this country back approaching a century now!

Once we kill CCM,we will give you a run for your money!
 
Everybody cooks data,especially Kenyans..

TZ we even dont bother to collect them to begin with....!And this I'm not pride of course!

Exports jiwe na CCM yao wametuzengua big time....!

Kenya shukuruni Mungu hamna dude linaitwa CCM,this devilish thing is keeping us innocent hardworking people of this country back approaching a century now!

Once we kill CCM,we will give you a run for your money!
I don't think so.what I'm trying to say here there is a probability that tz is the one who cooks data. This year, Kenyan exports were higher than that of Tanzania. Having a trade deficit plays a detrimental role on the economy. You imported more than you exported .
 
I don't think so.what I'm trying to say here there is a probability that tz is the one who cooks data. This year, Kenyan exports were higher than that of Tanzania. Having a trade deficit plays a detrimental role on the economy. You imported more than you exported .

Dada Jenny

Jamani tangu lini third world country like Kenya or TZ zilisha-export more than imports?Lini?

It has never happened labda kipindi cha ukoloni only!

Kenya,TZ,UG,whoever God knows who tupo import-driven!

Wewe dada import/export balance hua ni negative in our lifetime and next!

Tunachofanya tunapunguza gap la negative,Kenya mnajitahidi sana ku-export zaidi yetu of course hatukatai hilo,ila wote tunaogelea kwenye negative ONLY!

Lidude kama Germany lina-export 100%!

Kenya na positive export-import wapi na wapi?NEVER!
 
Dada Jenny

Jamani tangu lini third world country like Kenya or TZ zilisha-export more than imports?Lini?

It has never happened labda kipindi cha ukoloni only!

Kenya,TZ,UG,whoever God knows who tupo import-driven!

Wewe dada import/export balance hua ni negative in our lifetime and next!

Tunachofanya tunapunguza gap la negative,Kenya mnajitahidi sana ku-export zaidi yetu of course hatukatai hilo,ila wote tunaogelea kwenye negative ONLY!

Lidude kama Germany lina-export 100%!

Kenya na positive export-import wapina wapi?NEVER!
LoL...I mean this year.I don't know about the previous .Kenya exports and remittances increased while yours decreased.
 
LoL...I mean this year.I don't know about the previous .Kenya exports and remittances increased while yours decreased.

Dada Jeni hata mkusanye remittances za diaspora wenu wote na mzalishe maua na kahawa na chai na kila kitu mka-export hamuwezi fikia imports mnazofanya per year!

NEVER!

Mtafikia tu iwapo muwe na uwezo wa kuzalisha magari ya kutosha kwa ajili yenu,medical equipments,nguo,electronics,aeroplanes ,madawa,pembejeo za kilimo,crude oil,etc etc....Vyote hivi na vingine chungu nzima mzalishe NDANI ya nchi msiagize ng'ambo hata kidogo!

Exports zenu ni zipi sasa?Chai,kahawa,madini kidogo,maua,utalii,pareto,....and eeeerrrr,what else?Nothing!......Sasa sijui uta-export hivi vitu basic namna hii kwa thamani gani ili walao ufikie imports mlizofanya kwa ajili ya SGR tu?Just imagine!

Jeni acha ubishi bwana,wote tunaogelea kwenye negative trade balance mpaka hapo tutakapoweza kuzalisha mahitaji yetu yote nchini,otherwise moto tutauona for another century to come!

Kenya hadi samaki mna-import from China,niliwaona akina Boni Khalwale ,akina Kimani Wamatangi na Debarl Inea wanalalamika sana kwa TV....Kama samaki Mchina anakuleteeni sasa sijui wale samaki wa Homabay au Lamu na Mombasa mnapeleka wapi?
 
Ghana's $47 billion economy ranks eleventh in Africa after Tanzania, according to IMF estimates for 2017. A 30 percent expansion will move it up one spot.

WanaTz wazembe kweli..Fanyeni kazi, kila siku, usiku mchana mko hapa Kenya news section mkifungua nyuzi nonsense about Kenya, IMF, Ethopia etc while the world is passing you by!..[emoji23][emoji23][emoji23]




UPDATE 1-Ghana's economy seen up to 40 pct bigger after data overhaul -officials
ACCRA, July 18


(Reuters) - Ghana's economy will be up to 40 percent bigger than previously calculated when the West African country completes an overhaul of its economic output data in September, two senior government officials told Reuters on Wednesday.


The major commodity exporter is recalculating its gross domestic product based on measurements from 2013 instead of 2006 to more accurately reflect recent activity in the petroleum, communication technology and construction sectors, the statistics office said.

"The indication is that this year's rebasing will add 30 percent or more to the size of the economy... It could be up to 40 percent," a senior official close to the government's economic management team told Reuters.


"It's likely to be around 30-40 percent expansion", another official told Reuters.


Ghana's $47 billion economy ranks eleventh in Africa after Tanzania, according to IMF estimates for 2017. A 30 percent expansion will move it up one spot.


The statistics office plans to announce the new data in September, together with second quarter GDP growth. The economy expanded 6.8 percent in the first three months, it said in June.


The economy of the cocoa and gold producer expanded by 60 percent in 2010 when the country rebased its national accounts, leaping into middle-income status.

UPDATE 1-Ghana's economy seen up to 40 pct bigger after data overhaul -officials | Reuters
I thought you are talking about people's economy,alas!, its about economy of the books!
 
Everybody cooks data,especially Kenyans..

TZ we even dont bother to collect them to begin with....!And this I'm not pride of course!

Exports jiwe na CCM yao wametuzengua big time....!

Kenya shukuruni Mungu hamna dude linaitwa CCM,this devilish thing is keeping us innocent hardworking people of this country back approaching a century now!

Once we kill CCM,we will give you a run for your money!
Fair thoughts about ccm tho
 
Fair thoughts about ccm tho

Nyie jamaa mna akili sana,mlistuka mapema sana na KANU mkaiweka kando!

It's unfortunate we are still in chains aisee!

Siku wanakosea hesabu zao tunakua free,aisee I will run naked from Dar to Nairobi and back!
 
Back
Top Bottom