Gharama na taratibu za kufungua sanduku la posta

nilifungua karibia miaka 7 iliyopita nimesahau exactly amount niliyolipa lakini haiwezi kufika kuzidi 40,000 kwa sasa
 
mi niliulizia mwezi Desemba mwaka jana nikaambiwa 31,500/= sa hv neaenda kuulizia tena maana kuna vitu nataka kuagiza
 
Habari wanaJF,

Nipo mbele yenu nahitaji msaada wenu juu ya kufungua sanduku la posta.

Naishi Dar es Salam. Nahitaji kujua kufungua sanduku hili huchukua muda gani? Bei zao zikoje na mahali pa kufungua box hili hapa Kinondoni.

Ahsante



SM-G955F Samsung galaxy S8+
 
mkuuu nenda posta iliyopo karibu na wewe. uwe ma picha 2 na kitambulisho..
kufungua sikumbuki ni sh ngapi ila ada ya kila mwaka ni elfu 10 na mia nne hvi.
 
Ada laki moja na 20000

2 Timotheo:4.2
lihubiri neno, uwe tayari, wakati ukufaao na wakati usiokufaa, karipia, kemea, na kuonya kwa uvumilivu wote na mafundisho.
 
Kupata sanduku la posta binafsi ni 30,800, nenda na picha mbili stamp size. Kuna ada ya kila mwaka sijajua ni kiasi gani.
 
Habari wakuu
Naomba kuuliza gharama za kufungua sanduku la posta,tozo za mwaka na hatua za kufuata wakati wa kufungua sanduku la posta
Asanteni
 
Nitangulize salam kwanza wanajamvi. Nahitaji kufungua sanduku la posta, mwenye ujuzi au elimu ni vitu gani vinahitajika na garama zake naombeni muongozo wenu ndugu zangu.
Asante sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…