Kigezo cha kusema kwamba sehemu ina maisha nafuu kwasababu vitu vyake ni gharama nafuu ni dhaifu with a few exceptions.
Kila mkoa / nchi ina system yake kwenye matumizi na kipato, ni jambo la kuzingatia sana hasa kwa wale wanaojitafuta.
Unaweza kuwa sehemu kama Mbeya, ni mkoa unaosifika kwa gharama nafuu lakini mzunguko wa pesa ni changamoto, matumizi kwa siku yanaweza kuwa elf 3 lakini kuitafuta hio elf 3 ni mziki na haina uhakika kwasababu ya mzunguko mdogo wa pesa.
Ukienda sehemu kama Dar es Salaam ni kweli maisha yapo juu waweza kutumia elfu 10 daily lakini una uhakika wa kulaza 20 daily, ni sababu ya soko kubwa, mzunguko mkubwa wa pesa, n.k. hoja ya kwamba maisha yapo juu inapozwa kwa kipato utachoingiza
Wanaoweza ku enjoy unafuu wa maisha ni waajiriwa wanaopokea mshahara sawa mikoa yote
Muhimu: kutafuta maisha sio lazima uende mjini, kuna watu wamejipata vijijini lakini wengi zaidi hujipata kwenye mjini, kinachovutia wengi sehem flani ni uwezekano (sio guarantee) wa kuyamudu maisha kiuchumi
Kila mkoa / nchi ina system yake kwenye matumizi na kipato, ni jambo la kuzingatia sana hasa kwa wale wanaojitafuta.
Unaweza kuwa sehemu kama Mbeya, ni mkoa unaosifika kwa gharama nafuu lakini mzunguko wa pesa ni changamoto, matumizi kwa siku yanaweza kuwa elf 3 lakini kuitafuta hio elf 3 ni mziki na haina uhakika kwasababu ya mzunguko mdogo wa pesa.
Ukienda sehemu kama Dar es Salaam ni kweli maisha yapo juu waweza kutumia elfu 10 daily lakini una uhakika wa kulaza 20 daily, ni sababu ya soko kubwa, mzunguko mkubwa wa pesa, n.k. hoja ya kwamba maisha yapo juu inapozwa kwa kipato utachoingiza
Wanaoweza ku enjoy unafuu wa maisha ni waajiriwa wanaopokea mshahara sawa mikoa yote
Muhimu: kutafuta maisha sio lazima uende mjini, kuna watu wamejipata vijijini lakini wengi zaidi hujipata kwenye mjini, kinachovutia wengi sehem flani ni uwezekano (sio guarantee) wa kuyamudu maisha kiuchumi