Waone Nabaki Africa ltd
Wanajf, Salaam!!
Ninaomba kwa wenye ufahamu, wanisaidie. Nimepata wazo la kujenga swimming pool katika nyumba yangu iliyopo nje kidogo ya mji wa Dodoma.
Ningependa ukubwa wa swimming pool hiyo uwe ni 6m x 8m.
Naomba mchanganuo wa mahitaji ya vifaa, gharama zake na gharama za ufundi.
Karibuni sana
Mkuu kama ni la zege kwa size hiyo utanipatia milioni 27 na kama ni la liner utanipatia milion 25 boss
Lipi bora mkuu
Asante sana. NitawatembeleaNabaki Africa wao la mita 7 kwa 5 ni milioni 7
Nabaki Africa wao la mita 7 kwa 5 ni milioni 7
Kama una muda wa kusimamia ni nafuu sana ukilijenga mwenyewe kwa mafundi wako, wala si kazi, fundi yeyote anaweza kulijenga ukimnunulia vifaa, akisimamiwa na kufuata mchoro...ningekuwa Dodoma ningekusaidia hiyo kazi mkuu!Wanajf, Salaam!!
Ninaomba kwa wenye ufahamu, wanisaidie. Nimepata wazo la kujenga swimming pool katika nyumba yangu iliyopo nje kidogo ya mji wa Dodoma.
Ningependa ukubwa wa swimming pool hiyo uwe ni 6m x 8m.
Naomba mchanganuo wa mahitaji ya vifaa, gharama zake na gharama za ufundi.
Karibuni sana
Hiyo Tsh 25m/27m ni gharama za ufundi tu au mimi ninakupa hiyo fedha then wewe unanikabidhi bwawa langu tu??
Nabaki Africa wao la mita 7 kwa 5 ni milioni 7
Mita 3 kwa 4 inaweza kuwa ngapi bosi?
Ukiwa na 55 M tunakukabidhi a complete Swimming pool.
Contact:+255659734925