Gharama ya kujenga Swimming pool

Gharama ya kujenga Swimming pool

Acha wizi weeeee.heeeee
Yaani ume form ID mpya juzi tu 11th Sep then unaanza kutapeli watu.

We umeona wapi Domestic pool likawa pesa hiyo.Nyie ndio mnaofanya kila kitu aone ghali wakati sio sahihi.Mmezoe watu waone Swimming Pool kwenye nyumba za wazungu tuuu na sie waswahili kutufanya watu wa Mabata Pool,yaani mvua ikinyesha Bata Pool formed

Kuna Hotels kibao hapa Zanzibar zimejenga na ninajua hadi wajenzi na bei hiyo haijafikia hapo,tena mbaali sana na hiyo.Itakuwa Dar kwenye karibia vifaa vyote.

Angalia mfano hili hapa ambalo hata 25m haijafika na ni la Hotel yenye uwezo wa vyuma 10.Na Pool linamifumo yoote ya kisasa
attachment.php
attachment.php
attachment.php
attachment.php
attachment.php
Dah!! Aisee, Zanzibar Spices tupitie contacts za hao wajenzi mkuu
 
Zanzibar spice -Landscape designer kazi yake inapendeza kweli. Simple and graceful. Tupe Jina la hoteli na ilipo Zanzibar.
 
Last edited by a moderator:
Kuna kampuni inaitwa Pooldoctor, hao jamaa ni wataaramu wa swimming pool, na wanahudumia swimming pool nyingi sana hapo dar za majumbani kwa waheshimiwa pamoja na mahoteli maarufu. Pia ni wabia wa Nabaki Afrika, hata ukienda duka lolote la Nabaki, utapata wasifu wao na pamoja na mawasiliano. Hapa nina namba ya mkurugenzi mmoja wapo anaitwa Raymond +255767438444
 
Back
Top Bottom