Acha wizi weeeee.heeeee
Yaani ume form ID mpya juzi tu 11th Sep then unaanza kutapeli watu.
We umeona wapi Domestic pool likawa pesa hiyo.Nyie ndio mnaofanya kila kitu aone ghali wakati sio sahihi.Mmezoe watu waone Swimming Pool kwenye nyumba za wazungu tuuu na sie waswahili kutufanya watu wa Mabata Pool,yaani mvua ikinyesha Bata Pool formed
Kuna Hotels kibao hapa Zanzibar zimejenga na ninajua hadi wajenzi na bei hiyo haijafikia hapo,tena mbaali sana na hiyo.Itakuwa Dar kwenye karibia vifaa vyote.
Angalia mfano hili hapa ambalo hata 25m haijafika na ni la Hotel yenye uwezo wa vyuma 10.Na Pool linamifumo yoote ya kisasa