Wanajf, Salaam!!
Ninaomba kwa wenye ufahamu, wanisaidie. Nimepata wazo la kujenga swimming pool katika nyumba yangu iliyopo nje kidogo ya mji wa Dodoma.
Ningependa ukubwa wa swimming pool hiyo uwe ni 6m x 8m.
Naomba mchanganuo wa mahitaji ya vifaa, gharama zake na gharama za ufundi.
Karibuni sana
Ninaomba kwa wenye ufahamu, wanisaidie. Nimepata wazo la kujenga swimming pool katika nyumba yangu iliyopo nje kidogo ya mji wa Dodoma.
Ningependa ukubwa wa swimming pool hiyo uwe ni 6m x 8m.
Naomba mchanganuo wa mahitaji ya vifaa, gharama zake na gharama za ufundi.
Karibuni sana