HIMARS
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 70,791
- 98,334
Porini lazima ujenge tu ila ukiwa mjini haipiti siku unakutana na maandishi mekunduHivi hiko kibali inafika laki???
Sijawahi kuchukuaga kibali,huwa najenga tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Porini lazima ujenge tu ila ukiwa mjini haipiti siku unakutana na maandishi mekunduHivi hiko kibali inafika laki???
Sijawahi kuchukuaga kibali,huwa najenga tu
vibali havitolewi na serikali ya mtaa, bali hutolewa na halmashauri za wilaya/miji/manispaa.Kama si ghorofa nenda serikali ya mtaa wako utapewa siku hiyo hiyo
Mwaka jana nili lipia 50,000 kwa nyumba 2, kwenye idara ya mipango miji pale halmashauri mkoani TaboraHabari wakuu hatimaje nimedundukkza million mbili, naomba nijue gharama ya kibali cha ujenzi na process zake
Nyie mbona sijaelewa inamaana ukijenga lazima uwe na kibali ni miji,halmashauri tu au hata vijijini ni lazima uwe na kibali?
Kumbe 2m inatosha kujenga nyumba na watu hamsemi na kibali kabisa kina taftwa ....Habari wakuu hatimaje nimedundukkza million mbili, naomba nijue gharama ya kibali cha ujenzi na process zake
Ukitaka mambo yawe mengi na mpunga utoe mwingi nenda halmashaurivibali havitolewi na serikali ya mtaa, bali hutolewa na halmashauri za wilaya/miji/manispaa.
Duh hayaHapana inabidi nianze mchakato wa kupata sehemu yangu ya machinjiyo ya warembo. Billz za hotel zimekuwa kubwa sana bora nijenge ata ka servant kota
Utakaribishwa na mzee wa kupambania tufungue getto kwa threesome moja matata.Duh haya
Lini utamaliza kujenga?Utakaribishwa na mzee wa kupambania tufungue getto kwa threesome moja matata.
Hapa napambana xmas niwe mjengo i new year nakukaribisha na besty yako muje kuzindua ghetoLini utamaliza kujenga?
Itapendeza sana 😀Hapa napambana xmas niwe mjengo i new year nakukaribisha na besty yako muje kuzindua gheto
Karibu...usisahu kuja na rafiki wako wa kike ili party inoge zaidi 2 v 2 hapo magoli kama yoteItapendeza sana 😀
tatizo ni kutaka shortcut ambayo huja kuwa longcut, fika halmashauri ya mji/wilaya au manispaa ukiwa na fomu zilizojazwa na majirani pamoja kuodhinishwa na viongozi wa mtaa/kijiji na kata (mwenyekiti, mtendaji wa mtaa/kijiji, na mtendaji kata) hapo utapewa control number ukilipia inabaki kupewa kibali cha ujenzi tu.Ukitaka mambo yawe mengi na mpunga utoe mwingi nenda halmashauri
Kiongozi kwa ujengani wetu nyumba inajengwa kwa zaidi ya mwaka mmoja. Je icho kibali kina expire baada ya mda gani?tatizo ni kutaka shortcut ambayo huja kuwa longcut, fika halmashauri ya mji/wilaya au manispaa ukiwa na fomu zilizojazwa na majirani pamoja kuodhinishwa na viongozi wa mtaa/kijiji na kata (mwenyekiti, mtendaji wa mtaa/kijiji, na mtendaji kata) hapo utapewa control number ukilipia inabaki kupewa kibali cha ujenzi tu.
Hatukatai ni uamuzi wa mtutatizo ni kutaka shortcut ambayo huja kuwa longcut, fika halmashauri ya mji/wilaya au manispaa ukiwa na fomu zilizojazwa na majirani pamoja kuodhinishwa na viongozi wa mtaa/kijiji na kata (mwenyekiti, mtendaji wa mtaa/kijiji, na mtendaji kata) hapo utapewa control number ukilipia inabaki kupewa kibali cha ujenzi tu.
inategemea na halmashauri husika kuna miezi 18 mpaka 36 ndiyo muda wa kibali kuisha.Kiongozi kwa ujengani wetu nyumba inajengwa kwa zaidi ya mwaka mmoja. Je icho kibali kina expire baada ya mda gani?
Asante
Kama si ghorofa nenda serikali ya mtaa wako utapewa siku hiyo hiyo