Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani waliobaki bado wanachezea kodi zenu?
Si aliekuwa anafanya hivyo alishakufa na mkashangilia sana?
Kwani waliobaki bado wanachezea kodi zenu?
Si aliekuwa anafanya hivyo alishakufa na mkashangilia sana?
Ndio mtakuwa hamuonewi tena?Na wewe kufa umfuate
Jina tu la Ludewa nimetumia kuwakilisha sehemu nje ya ChatoUpo Ludewa sehemu gani Mkuu??.
Katili na muuaje wa raia yeyote aliyemkosoa. Thanks God kwa kuingilia katiHapo ni nyumbani kwa JPM, mmoja wa mashujaa wa afrika, mzalendo wa kweli. Aliyesema mtanikumbuka kwa mazuri na kweli tunamkumbuka kwa mengi mazuri.
Wakwao wemeupeleka wapi? Wakaa waongee na WachinaNasikia Uganda wameomba kuutumia uwanja wa ndege wa Chato kwa muda
Sawa Mwalimu wa Fasihi.Jina tu la Ludewa nimetumia kuwakilisha sehemu nje ya Chato
Niko hapa naangalia convo iliyoenda kuzindua shule ya msingi Chato iliyojengwa na Rais Museveni, aisee ni kubwa. Nimemuona Rais Samia kashuka kwenye lile dege kubwa akiwa ameambatana na jopo la kutosha, Rais Museveni nae kaenda na ndege yake, picha za sehemu ya uzinduzi ina watu wa kutosha wakiwemo watumishi wa Serikali.
Najiuliza gharama za kupeleka ndege mbili za Marais, kupeleka jopo kubwa hivi, kuwalipa posho walioenda na watumishi wa Chato, logistics za ulinzi kwa marais wote wawili, kupeleka live TV etc
Hizi gharama hazijazidi au kukaribiana na gharama ya shule ya msingi iliyoenda kuzinduliwa? Kama ni alama ya ushirikiano, hamna namna nyingine tungeweza kufanya?
Kuna wakati sio lazima kila kitu umuhimu wake upimwe kwa fedha. Mafanikio sio kupata au kuokoa fedha pekee yake, ndio maana hata vijana wanasema 'kutengeneza connection' ambacho ndio kinafanyika hapa. Kuimarisha urafiki ni mwanzo wa kupata fursa za kutengeneza fedhaa nyingi zaidi kuliko hizo za kupeleka msafara chatoNiko hapa naangalia convo iliyoenda kuzindua shule ya msingi Chato iliyojengwa na Rais Museveni, aisee ni kubwa. Nimemuona Rais Samia kashuka kwenye lile dege kubwa akiwa ameambatana na jopo la kutosha, Rais Museveni nae kaenda na ndege yake, picha za sehemu ya uzinduzi ina watu wa kutosha wakiwemo watumishi wa Serikali.
Najiuliza gharama za kupeleka ndege mbili za Marais, kupeleka jopo kubwa hivi, kuwalipa posho walioenda na watumishi wa Chato, logistics za ulinzi kwa marais wote wawili, kupeleka live TV etc
Hizi gharama hazijazidi au kukaribiana na gharama ya shule ya msingi iliyoenda kuzinduliwa? Kama ni alama ya ushirikiano, hamna namna nyingine tungeweza kufanya?
Niko hapa naangalia convo iliyoenda kuzindua shule ya msingi Chato iliyojengwa na Rais Museveni, aisee ni kubwa. Nimemuona Rais Samia kashuka kwenye lile dege kubwa akiwa ameambatana na jopo la kutosha, Rais Museveni nae kaenda na ndege yake, picha za sehemu ya uzinduzi ina watu wa kutosha wakiwemo watumishi wa Serikali.
Najiuliza gharama za kupeleka ndege mbili za Marais, kupeleka jopo kubwa hivi, kuwalipa posho walioenda na watumishi wa Chato, logistics za ulinzi kwa marais wote wawili, kupeleka live TV etc
Hizi gharama hazijazidi au kukaribiana na gharama ya shule ya msingi iliyoenda kuzinduliwa? Kama ni alama ya ushirikiano, hamna namna nyingine tungeweza kufanya?
Ktk maisha tafuta connection alaf kua karibu nayo muda wote. Kutafuta na kumaintain connection ni jambo gumu, linahitaji muda na pesa tena wkt mwengine pesa ndefu sana. Kilichofanywa na maraisi wetu mimi naona sawa kabisa kwa sbb kubwa mbili:Niko hapa naangalia convo iliyoenda kuzindua shule ya msingi Chato iliyojengwa na Rais Museveni, aisee ni kubwa. Nimemuona Rais Samia kashuka kwenye lile dege kubwa akiwa ameambatana na jopo la kutosha, Rais Museveni nae kaenda na ndege yake, picha za sehemu ya uzinduzi ina watu wa kutosha wakiwemo watumishi wa Serikali.
Najiuliza gharama za kupeleka ndege mbili za Marais, kupeleka jopo kubwa hivi, kuwalipa posho walioenda na watumishi wa Chato, logistics za ulinzi kwa marais wote wawili, kupeleka live TV etc
Hizi gharama hazijazidi au kukaribiana na gharama ya shule ya msingi iliyoenda kuzinduliwa? Kama ni alama ya ushirikiano, hamna namna nyingine tungeweza kufanya?