Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umemsononesha na umemfedhehesha huyu ndg. Punguza makasiriko umshauri tena.Ewe msomi hewa... mambo mengine hayana haja ya kuleta matangazo uonekane unatagaza nia ya kwenda kuongeza usomi hewa. Tovuti maalum ya "NBAA" wewe huifahamu?! Sasa muhasibu wewe ni muhasibu gani?! [emoji848]
Hakuna makasiriko wala mifedhehesho na misononeko hapo... msiendekeze ujinga. Watoto wa siku hizi wanamaliza shule ila wana-graduate kwenye ujingaujinga tu na upumbavu. Sasa mtu usome uhasibu miaka mitatu lakini hujui kuhusu NBAA wewe unaona ni akili ya sawasawa hiyo?! Au wanasoma kukariri DR na CR.. expenses na liabilities basi!?!... Sanasana kujua aina ya iPhones na bei zake, Club zinazobamba sana, fashion mpya zinazo-trend na mademu wakali. Ongezea habari za wasanii pia na vioja vyao.Umemsononesha na umemfedhehesha huyu ndg. Punguza makasiriko umshauri tena.
Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app