Sahihi kbsNgoja nikupe mchanganuo wa vifaa
*Main switch 8 way (tronic)- Tsh 95, 000=
*Circuit breaker(tronic) - 45, 000=
*Earth road(pure copper) - 50, 000=
*1.5mm wire(single) 6 pair×50000= 300, 000=
*2.5 mm wire(single) 3 pair ×80000=240, 000=
*10 mm wire (mita 5) - 50, 000=
*switch socket double -8× 8000= 64, 000=
*lamp switch - 50, 000=
4mm wire (mita 10)×4000- 40, 000=
- 4mm earth wire (mita 10)- 20, 000=
- cooker switch - 30, 000=
Jumla Tsh 994, 000/=
Vifaa vyote kampuni ya Tronic
Waya kampuni ya master cable
Hii ni wiring ya kawaida sana kwenye nyumba.yani wiring ya mtu wa hali ya chini
Mchanganuo wako haujakaa kitaalamu.Ngoja nikupe mchanganuo wa vifaa
*Main switch 8 way (tronic)- Tsh 95, 000=
*Circuit breaker(tronic) - 45, 000=
*Earth road(pure copper) - 50, 000=
*1.5mm wire(single) 6 pair×50000= 300, 000=
*2.5 mm wire(single) 3 pair ×80000=240, 000=
*10 mm wire (mita 5) - 50, 000=
*switch socket double -8× 8000= 64, 000=
*lamp switch - 50, 000=
4mm wire (mita 10)×4000- 40, 000=
- 4mm earth wire (mita 10)- 20, 000=
- cooker switch - 30, 000=
Jumla Tsh 994, 000/=
Vifaa vyote kampuni ya Tronic
Waya kampuni ya master cable
Hii ni wiring ya kawaida sana kwenye nyumba.yani wiring ya mtu wa hali ya chini
tumia 4mm kabisa kuepuka gharamahatutumii 10mm bali tunatumia 6mm
Hatupunguzi gharama mkuu bali ni recommended, 4mm inatumika kwenye cookertumia 4mm kabisa kuepuka gharama
nyie ndiyo mnaounguza nyumba za watu
recommended ni 10mm siyo 6mm, 6mm unatumia kwenye heater 😬Hatupunguzi gharama mkuu bali ni recommended, 4mm inatumika kwenye cooker
Dahrecommended ni 10mm siyo 6mm, 6mm unatumia kwenye heater 😬
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] juu nimeona laki 8 nashuka naona million 1.5 nashuka naona million 2 nashuka tena nakutana na million 3
Duh, kweli hujajenga bado Mkuu. Hiyo laki 8 hata waya tu haitoshi Boss. Wire wa 2.5 bandle moja tu ni kuanzia 86,000 hadi 95,000.Wastani chumba nne unatakiwa kuandaa pesa isiopungua lakinane na nusu hapo nyumba itakua imetimia , angalizo hela hiyo haitahusika na mfumo wa Ac, laki tatu na nusu au tatu ni ya fundi , laki tano ni ya vifaa wasiliana nami 0652670595/0773120431
Conduit pipe mbona hujaweka?Makadirio yako ni mazuri ila hapo kwenye wire za 1.5mm kuna namna umekosea hesabu 6pair za single maana yake ni roller 12. Ila pia kama unmaanisha set ni(R,B,G) ambayo ni roller 3 kila set ambayo jumla ni roller 18.
Means 12×50,000=600,000
Au 18×50,000=??
Pia bei ya jumla ya master cable roller ya 1.5mm kwa Kkoo ni 40k kwa roller.
Duh, kweli hujajenga bado Mkuu. Hiyo laki 8 hata waya tu haitoshi Boss. Wire wa 2.5 bandle moja tu ni kuanzia 86,000 hadi 95,000.
Kama hujachimbia hata bomba utahitajika kuandaa minimum of 3m and maximum of 4m. Wire ziko juu sana. See attached
Hizi ni hesabu za kilokole kabisaNgoja nikupe mchanganuo wa vifaa
*Main switch 8 way (tronic)- Tsh 95, 000=
*Circuit breaker(tronic) - 45, 000=
*Earth road(pure copper) - 50, 000=
*1.5mm wire(single) 6 pair×50000= 300, 000=
*2.5 mm wire(single) 3 pair ×80000=240, 000=
*10 mm wire (mita 5) - 50, 000=
*switch socket double -8× 8000= 64, 000=
*lamp switch - 50, 000=
4mm wire (mita 10)×4000- 40, 000=
- 4mm earth wire (mita 10)- 20, 000=
- cooker switch - 30, 000=
Jumla Tsh 994, 000/=
Vifaa vyote kampuni ya Tronic
Waya kampuni ya master cable
Hii ni wiring ya kawaida sana kwenye nyumba.yani wiring ya mtu wa hali ya chini
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] 6mm iyo sio nyumba bali labda kiwe kibanda.kwenye nyumba ni 10 mm mpaka 16mm.Mchanganuo wako haujakaa kitaalamu.
Kwenye single phase hatutumii 10mm bali tunatumia 6mm pia sijaona junction boxes, square boxes na conduits.
Bei inabadilika badilika kutokana na muonekano wako boss.sasa boss una miliki Discovery 5 alafu nikutajie laki 3 kweli.si utaniona mimi muhuni tu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji28][emoji28]wanatuchanganya sana
Karibu mkuu[emoji120]Hizi ni hesabu za kilokole kabisa
Nitakutafuta
Nimefanya wiring ya room mbili kwa umeme wa kugongea
Najipanga nije nifanye nyumba nzima
2bedroom, corridor, sebule, jiko, store, dining, public toilet na bedroom moja ni master
Labor Charge ya kuchimbia Pipes na pia kufanya wiring ni kiasi gani?Ngoja nikupe mchanganuo wa vifaa
*Main switch 8 way (tronic)- Tsh 95, 000=
*Circuit breaker(tronic) - 45, 000=
*Earth road(pure copper) - 50, 000=
*1.5mm wire(single) 6 pair×50000= 300, 000=
*2.5 mm wire(single) 3 pair ×80000=240, 000=
*10 mm wire (mita 5) - 50, 000=
*switch socket double -8× 8000= 64, 000=
*lamp switch - 50, 000=
4mm wire (mita 10)×4000- 40, 000=
- 4mm earth wire (mita 10)- 20, 000=
- cooker switch - 30, 000=
Jumla Tsh 994, 000/=
Vifaa vyote kampuni ya Tronic
Waya kampuni ya master cable
Hii ni wiring ya kawaida sana kwenye nyumba.yani wiring ya mtu wa hali ya chini
Nitasimamia hapohapo kwenye 6mm kwasababu ndio niliyoutumia kwenye nyumba ya kawaida (sio kibanda) na sijapata tatizo lolote la kiufundi yapata miaka 8 sasa.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] 6mm iyo sio nyumba bali labda kiwe kibanda.kwenye nyumba ni 10 mm mpaka 16mm.
Umeme ni kama maji.bomba likiwa jembamba basi nguvu kubwa itakuwa inatumika kupitisha kiwango kikubwa cha maji.ila bomba likiwa kubwa basi nguvu ndogo itatumika kupitisha kiwango kikubwa cha maji kwa sababu ukinzani ni mdogo.
Kwa iyo msukumo ukiwa mkubwa basi tegemea unit kwenda nyingi hapo.kwa maana iyo matumizi yakiwa makubwa basi unashangaa unit zinaenda sana kupita maelezo.
Nicheki kaka hatutashindwana 0652868486Labor Charge ya kuchimbia Pipes na pia kufanya wiring ni kiasi gani?
Wewe sio fundi kwa sababu unaongea vitu sio vya kifundi.hakuna 2 phase hapa Tanzania.ni single phase na 3 phase ndo tunatumia.Nitasimamia hapohapo kwenye 6mm kwasababu ndio niliyoutumia kwenye nyumba ya kawaida (sio kibanda) na sijapata tatizo lolote la kiufundi yapata miaka 8 sasa.
Hiyo 10mm inatumika kwenye 2phase na 16mm inatumika sana viwandani au kwenye mashine.