Gharama ya kuweka mfumo wa umeme

Gharama ya kuweka mfumo wa umeme

Ngoja nikupe mchanganuo wa vifaa

*Main switch 8 way (tronic)- Tsh 95, 000=
*Circuit breaker(tronic) - 45, 000=
*Earth road(pure copper) - 50, 000=
*1.5mm wire(single) 6 pair×50000= 300, 000=
*2.5 mm wire(single) 3 pair ×80000=240, 000=
*10 mm wire (mita 5) - 50, 000=
*switch socket double -8× 8000= 64, 000=
*lamp switch - 50, 000=
  • 4mm earth wire (mita 10)- 20, 000=
  • cooker switch - 30, 000=
4mm wire (mita 10)×4000- 40, 000=

Jumla Tsh 994, 000/=

Vifaa vyote kampuni ya Tronic
Waya kampuni ya master cable

Hii ni wiring ya kawaida sana kwenye nyumba.yani wiring ya mtu wa hali ya chini
Sahihi kbs
 
Ngoja nikupe mchanganuo wa vifaa

*Main switch 8 way (tronic)- Tsh 95, 000=
*Circuit breaker(tronic) - 45, 000=
*Earth road(pure copper) - 50, 000=
*1.5mm wire(single) 6 pair×50000= 300, 000=
*2.5 mm wire(single) 3 pair ×80000=240, 000=
*10 mm wire (mita 5) - 50, 000=
*switch socket double -8× 8000= 64, 000=
*lamp switch - 50, 000=
  • 4mm earth wire (mita 10)- 20, 000=
  • cooker switch - 30, 000=
4mm wire (mita 10)×4000- 40, 000=

Jumla Tsh 994, 000/=

Vifaa vyote kampuni ya Tronic
Waya kampuni ya master cable

Hii ni wiring ya kawaida sana kwenye nyumba.yani wiring ya mtu wa hali ya chini
Mchanganuo wako haujakaa kitaalamu.
Kwenye single phase hatutumii 10mm bali tunatumia 6mm pia sijaona junction boxes, square boxes na conduits.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] juu nimeona laki 8 nashuka naona million 1.5 nashuka naona million 2 nashuka tena nakutana na million 3

[emoji28][emoji28]wanatuchanganya sana
 
Kuna utofauti wa ukubwa wa nyumba,
Kuna utofauti wa bei za vifaa kati ya duka na duka,
Kuna utofauti wa bei kati ya manufacturer mmoja na mwengine
Na kuna kupigwa bei kubwa sababutu umeendakichwakichwa,
Vyote hivi vinachangia kuleta utofauti wa gharama za vifaa
 
Wastani chumba nne unatakiwa kuandaa pesa isiopungua lakinane na nusu hapo nyumba itakua imetimia , angalizo hela hiyo haitahusika na mfumo wa Ac, laki tatu na nusu au tatu ni ya fundi , laki tano ni ya vifaa wasiliana nami 0652670595/0773120431
Duh, kweli hujajenga bado Mkuu. Hiyo laki 8 hata waya tu haitoshi Boss. Wire wa 2.5 bandle moja tu ni kuanzia 86,000 hadi 95,000.

Kama hujachimbia hata bomba utahitajika kuandaa minimum of 3m and maximum of 4m. Wire ziko juu sana. See attached
 

Attachments

  • Screenshot_20230507-221234_CamScanner.jpg
    Screenshot_20230507-221234_CamScanner.jpg
    98.3 KB · Views: 72
C
Makadirio yako ni mazuri ila hapo kwenye wire za 1.5mm kuna namna umekosea hesabu 6pair za single maana yake ni roller 12. Ila pia kama unmaanisha set ni(R,B,G) ambayo ni roller 3 kila set ambayo jumla ni roller 18.

Means 12×50,000=600,000
Au 18×50,000=??

Pia bei ya jumla ya master cable roller ya 1.5mm kwa Kkoo ni 40k kwa roller.
Conduit pipe mbona hujaweka?
 
Duh, kweli hujajenga bado Mkuu. Hiyo laki 8 hata waya tu haitoshi Boss. Wire wa 2.5 bandle moja tu ni kuanzia 86,000 hadi 95,000.

Kama hujachimbia hata bomba utahitajika kuandaa minimum of 3m and maximum of 4m. Wire ziko juu sana. See attached
 

Attachments

  • Screenshot_20230507-222238_CamScanner.jpg
    Screenshot_20230507-222238_CamScanner.jpg
    82.6 KB · Views: 79
Attachment hizo
 

Attachments

  • Screenshot_20230507-222238_CamScanner.jpg
    Screenshot_20230507-222238_CamScanner.jpg
    82.6 KB · Views: 64
  • Screenshot_20230507-221234_CamScanner.jpg
    Screenshot_20230507-221234_CamScanner.jpg
    98.3 KB · Views: 73
Ngoja nikupe mchanganuo wa vifaa

*Main switch 8 way (tronic)- Tsh 95, 000=
*Circuit breaker(tronic) - 45, 000=
*Earth road(pure copper) - 50, 000=
*1.5mm wire(single) 6 pair×50000= 300, 000=
*2.5 mm wire(single) 3 pair ×80000=240, 000=
*10 mm wire (mita 5) - 50, 000=
*switch socket double -8× 8000= 64, 000=
*lamp switch - 50, 000=
  • 4mm earth wire (mita 10)- 20, 000=
  • cooker switch - 30, 000=
4mm wire (mita 10)×4000- 40, 000=

Jumla Tsh 994, 000/=

Vifaa vyote kampuni ya Tronic
Waya kampuni ya master cable

Hii ni wiring ya kawaida sana kwenye nyumba.yani wiring ya mtu wa hali ya chini
Hizi ni hesabu za kilokole kabisa
Nitakutafuta
Nimefanya wiring ya room mbili kwa umeme wa kugongea
Najipanga nije nifanye nyumba nzima
2bedroom, corridor, sebule, jiko, store, dining, public toilet na bedroom moja ni master
 
Mchanganuo wako haujakaa kitaalamu.
Kwenye single phase hatutumii 10mm bali tunatumia 6mm pia sijaona junction boxes, square boxes na conduits.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] 6mm iyo sio nyumba bali labda kiwe kibanda.kwenye nyumba ni 10 mm mpaka 16mm.

Umeme ni kama maji.bomba likiwa jembamba basi nguvu kubwa itakuwa inatumika kupitisha kiwango kikubwa cha maji.ila bomba likiwa kubwa basi nguvu ndogo itatumika kupitisha kiwango kikubwa cha maji kwa sababu ukinzani ni mdogo.

Kwa iyo msukumo ukiwa mkubwa basi tegemea unit kwenda nyingi hapo.kwa maana iyo matumizi yakiwa makubwa basi unashangaa unit zinaenda sana kupita maelezo.
 
Hizi ni hesabu za kilokole kabisa
Nitakutafuta
Nimefanya wiring ya room mbili kwa umeme wa kugongea
Najipanga nije nifanye nyumba nzima
2bedroom, corridor, sebule, jiko, store, dining, public toilet na bedroom moja ni master
Karibu mkuu[emoji120]
 
Ngoja nikupe mchanganuo wa vifaa

*Main switch 8 way (tronic)- Tsh 95, 000=
*Circuit breaker(tronic) - 45, 000=
*Earth road(pure copper) - 50, 000=
*1.5mm wire(single) 6 pair×50000= 300, 000=
*2.5 mm wire(single) 3 pair ×80000=240, 000=
*10 mm wire (mita 5) - 50, 000=
*switch socket double -8× 8000= 64, 000=
*lamp switch - 50, 000=
  • 4mm earth wire (mita 10)- 20, 000=
  • cooker switch - 30, 000=
4mm wire (mita 10)×4000- 40, 000=

Jumla Tsh 994, 000/=

Vifaa vyote kampuni ya Tronic
Waya kampuni ya master cable

Hii ni wiring ya kawaida sana kwenye nyumba.yani wiring ya mtu wa hali ya chini
Labor Charge ya kuchimbia Pipes na pia kufanya wiring ni kiasi gani?
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] 6mm iyo sio nyumba bali labda kiwe kibanda.kwenye nyumba ni 10 mm mpaka 16mm.

Umeme ni kama maji.bomba likiwa jembamba basi nguvu kubwa itakuwa inatumika kupitisha kiwango kikubwa cha maji.ila bomba likiwa kubwa basi nguvu ndogo itatumika kupitisha kiwango kikubwa cha maji kwa sababu ukinzani ni mdogo.

Kwa iyo msukumo ukiwa mkubwa basi tegemea unit kwenda nyingi hapo.kwa maana iyo matumizi yakiwa makubwa basi unashangaa unit zinaenda sana kupita maelezo.
Nitasimamia hapohapo kwenye 6mm kwasababu ndio niliyoutumia kwenye nyumba ya kawaida (sio kibanda) na sijapata tatizo lolote la kiufundi yapata miaka 8 sasa.
Hiyo 10mm inatumika kwenye 2phase na 16mm inatumika sana viwandani au kwenye mashine.
 
Nitasimamia hapohapo kwenye 6mm kwasababu ndio niliyoutumia kwenye nyumba ya kawaida (sio kibanda) na sijapata tatizo lolote la kiufundi yapata miaka 8 sasa.
Hiyo 10mm inatumika kwenye 2phase na 16mm inatumika sana viwandani au kwenye mashine.
Wewe sio fundi kwa sababu unaongea vitu sio vya kifundi.hakuna 2 phase hapa Tanzania.ni single phase na 3 phase ndo tunatumia.
 
Back
Top Bottom