Unataka kujenga wap au upo mkoa gani Mimi nipo dar fundi najenga kwa mkono wangu hapa nipo mbweni 0684109595 nichekiNaomben mnisaidie rough estimation ya gharama ya fundi kumlipa. Sijawahi kujenga nataka nianze kijenga mafundi huwa mnawalipaje mfano mm fundi nataka aanzie msingi hadi boma, je kwa nyumba ya vyumba vitatu master vyote, dinning kitchen store naweza kimlipaje fundi sijui kabisa wanavolipwa but sitak ule mfumo wa kumlipa kwa tofauli
upo sahihi mkuu, mil 2 iko Sawa, Msingi na boma. bei iko mitaa hiyo hiyoRamani nyingi zinaangukia kwenye 2Mil.
Duh! Very complicatedUsimlipe kwa tofar mlipe kwa day yan unafanya hiv tafuta fund mtae ivana ndo awe kama msimamiz lakin na yy awe fund af ww ndo uwe kama umeshika hiyo tenda yan usjulikane kam ww ndi bos.
Af uyo fund unamlipa tofaut na mafund wengine ko unakuwa na mafund weng ata 6 na ko we unawalipa kwa siku na shart wakimbie ndo walipwe mf wakianza kupandsha tofar sku yakwanza wakikishe wafike kwa madirisha sku yapili wanaenda ad saiz ya lenta ..... Ko kwa siku chache unamaliza nyumba kwa bei chee
Kuliko kukabidh contractor sjui ya mil.3 bad ayaend lakin ukifanya hv unakimbiza nyumba tena saf
Elewa swali, Kwan ameulizia kununua ramani?Sio kweli ramani ni 100K kuanzia residential house mpaka 80k zipo
Msingi hadi 'top kozi',Ukimaansh msing had gebo
Unamdanganya mwenzio....kwa style hii hatofika popote na pesa itaishia njiani.....Usimlipe kwa tofar mlipe kwa day yan unafanya hiv tafuta fund mtae ivana ndo awe kama msimamiz lakin na yy awe fund af ww ndo uwe kama umeshika hiyo tenda yan usjulikane kam ww ndi bos.
Af uyo fund unamlipa tofaut na mafund wengine ko unakuwa na mafund weng ata 6 na ko we unawalipa kwa siku na shart wakimbie ndo walipwe mf wakianza kupandsha tofar sku yakwanza wakikishe wafike kwa madirisha sku yapili wanaenda ad saiz ya lenta ..... Ko kwa siku chache unamaliza nyumba kwa bei chee
Kuliko kukabidh contractor sjui ya mil.3 bad ayaend lakin ukifanya hv unakimbiza nyumba tena saf