Gharama za Bando la internet ziko juu na linaisha mapema sana

Gharama za Bando la internet ziko juu na linaisha mapema sana

Vodaaaaaaa

Juzi kati niliunga MB za elfu 10
Hee naletewa sms ndugu mteja mb zako za 2000 zinakaribia kuisha.

Bundle la efu30 week 2 limeisha, na matumizi ni kawaida sana.

Bundle la mwezi unatumia week 2
Bundle la week siku 2
Hahahaa
Dah!

#Tutafute Hela Tuache Kulalamika
Maana 4G tunateleza kwa raha lakini
Shida siyo kutafuta hela. Hapa tunaongelea gharama za bando.
Ukiwa na hela hata wali maharage unaweza kununua kwa laki 1?
 
Aliulizwa kajibu kwa nyodo kama hamna bando tafuteni shughuli nyingine za kufanya.
Watu wanatumia TTCL bure. Nape anapiga simu bure, anatuma meseji bure na kutumia internet bure. Lini atakufikiria?
 
Simu kama gari yapo yenye kutumia nishauri Kubwa yapo yenye kutumia ndogo.

swali unatumia simu ya aina gani ..

user manuals unazifahamu?

Settings za kawaida kama background data usage unazifahamu?

Auto update?

hizo notification, adds Zinaingia tuu bure.. bila nishati ambayo ni mbs plus charge ..

simu ni 4g au 3g .. processor ????


Nipo tayari kukosolewa.
 
Simu kama gari yapo yenye kutumia nishauri Kubwa yapo yenye kutumia ndogo.

swali unatumia simu ya aina gani ..

user manuals unazifahamu?

Settings za kawaida kama background data usage unazifahamu?

Auto update?

hizo notification, adds Zinaingia tuu bure.. bila nishati ambayo ni mbs plus charge ..

simu ni 4g au 3g .. processor ????


Nipo tayari kukosolewa.
Hata sisi tunajua yote hayo. Ila bando bei Iko juu sana na linaisha haraka kama linayeyuka vile.
 
Voda kudadekiiiii

Nimeshtuka sana Gb 1.4 kuisha ndani ya masaa ma3 na ninatumia tu whatsapp na JF 🙌

Hapana aisee, this is too much.

Imebidi nipunguze speed nione itakuwaje.
8DAAC387-8533-45B0-B8A7-4ACDBE0C3DB2.jpeg
 
Vodaaaaaaa

Juzi kati niliunga MB za elfu 10
Hee naletewa sms ndugu mteja mb zako za 2000 zinakaribia kuisha.

Bundle la efu30 week 2 limeisha, na matumizi ni kawaida sana.

Bundle la mwezi unatumia week 2
Bundle la week siku 2
Hahahaa
Dah!

#Tutafute Hela Tuache Kulalamika
Maana 4G tunateleza kwa raha lakini
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Voda ni kiboko hakuna bando linalokutana jinsi unavyoongeza kununua ndio jinsi muda unavyopungua ukianza la wiki na mwezi wana bando lao la 20,000 wanatoa 9.8 GB ni la mwezi ila ndani ya siku 7 utapata taarifa ya 75% ya matumizi yako na hapo hakuna kitu una stream ndio maana wanatuambia twende Malawi maana kule hiyo ya 20,000Tsh hapa kule ni ya 2500 Tsh kws Airtel ya wiki na gemu uta stream na wiki itafika hakuna kuzima data kule wao wanatoa 3GB ila zipo slow kuisha sio kama za Vodacom Tanzania zinakimbia kama Jet..
 
Muhuni Rostam Aziz anamiliki Vodacom, Tigo na Zantel. Hapa tutalia na Nape hawezi kufanya kitu zaidi atajibu mipasho.
 
Back
Top Bottom