Gushleviv
JF-Expert Member
- Mar 14, 2011
- 3,475
- 5,290
Yeah dawa ni kuanzisha Timbwili tuu, hawa jamaa siku watu waingie pale mjengoni Dom hadi ndani anapokaa Speaker, wang'oe viti na zile Mic ndio akili itawakaa sawa.Mkiambiwa suluhu ni kukiwasha tu je mtajitokeza kupambania haki zenu za msingi! Sema serikali imeshazoea inajua watanzania ni kama misukule iliokatwa ulimi wapo wapo tu 😂