crabat
JF-Expert Member
- Dec 28, 2012
- 4,323
- 2,207
Mamlaka ya shughuli za bima TIRA kwa barua ya Commissioner wake Bw Kamuzora imekubali maombi ya makampuni
ya bima kuongeza gharama za bima za magari kwa zaidi ya asilimia 500%.
kwa mujibu wa barua ya TIRA gharama hizo zitaanza kutumika rasmi kuanzia tarehe 01 March 2013.
Insurance premium hizo zimeongezwa na jumuia ya makampuni ya bima yaani Association of Tanzania Insurers-ATI ambapo habari za ndani kabisa ya kikao hicho ni kwamba ongezeko hilo halikuzingatia hali halisi ya kipato cha wana nchi wala Uchumi wa nchi au gharama za madai zitokanazo na bima za magari bali kimeangalia zaidi faida kwa kampuni hayo
gharama za chini kwa bima ya kawaida yaani third party kwa magari ya mizigo yaani Trucks yamepanda kutoka Tshs 100,000/- mpaka Ths 750,000/-
magari ya mafuta yaani tankers kutoka Tshs 150,000/= mpaka Tshs 1,000,000/-
GHARAMA HIZO NI KWA GARI ZOTE ZA MIZIGO IKIWA NI PICK UP AU CANTERS AU TRAILERS AMA TRUCKS.
UKIANGALIA GHARAMA HIZO NI ZA JUU SANA NA WATU WENGI SASA WANAWEZA KUENDESHA MAGARI BILA YA INSURANCE.
HABARI ZA NDANI NI KUWA MASHIRIKA YA BIMA YA SERIKALI ZIC NA NIC YALIKATAA ONGEZEKO HILO LAKINI kutokana na WINGI WA MAKAMPUNI YA PRIVATE HIVYo IKALAZIMIKA KUPITISHWA.
PIA HABARI ZA NDANI YA KIKAO CHA "ATI" NI KUWA MAKAMPUNI MENGI HAYATAKI KUTOA BIMA ZA MAGARI HIVYO NI KAMA KUWAKOMOA WATANZANIA.
UPANDE WA DALA DALA ZIMEPANDA KUTOKA Tshs 7,500/- kwa kila seat moja mpaka Tshs 15,000/-
mabasi ya mikoani kutoka Tshs 10,000/- kwa seat moja hadi Tshs 25,000/-
taxis kutoka Tshs 60,0000/- hadi Tshs 150,000/-
magari binafsi Tshs 40,000/- mpaka Tshs 100,000/-
magari ya school ya wanafunzi kutoka Tshs 5,000/- kwa seat hadi Tshs 15,000/- kwa seat moja.
gharama hizi bila shaka zitaathiri gharama za uchukuzi na kugharimu shughuli za uchumi.
mfano ubebaji wa mafuta na abiria , mizigo na mafuta.
Pia katika gharama hizo kuna ongezeko kubwa la bima kubwa yaani comprehensive
mfano tankers imepanda kutoka 4% ya thamani ya gari mpaka 9%
kwa hio gari mpya ya gari ya scania inayofikia USD 300,000 bima yake itakuwa ni USD 27,000/- hii ni sawa na akufukuzae hakwambii toka.
cha ajabu ni kwa nini TIRA imekubali kila kitu kama ili vo pendekezwa na ATI bila ya kulinda maslahi ya walaji, uchumi wa nchi na wao TIRA wameangalia zaidi maslahi ya makampuni katika kupata faida.
nchi nyingi Regulators ndio wanahusikaa kupandisha ama kushusha gharama za bima ya magari kwa sababu bima hizo ni lazima kwa mujubu wa sheria. Na uwezo wa kupandisha kitaalam TIRA Wanao kwani wanazo data zote za makampuni ya bima na wana jua loss ratio iliopo kwenye soko.
lakini hili la kupandisha bima ya third party kwa pick up ya tani moja kuwa Tshs 750,000 kweli TIRA wamechemsha
sasa nusura yetu ipo kwa fair competion commision kuangalia suala hili
Gharama za uendeshaji wa magari ya abiria kama Dala dala, Taxis, Magari ya mizigo na mafuta yataongezeka maradufu kuazia March 2013.
ya bima kuongeza gharama za bima za magari kwa zaidi ya asilimia 500%.
kwa mujibu wa barua ya TIRA gharama hizo zitaanza kutumika rasmi kuanzia tarehe 01 March 2013.
Insurance premium hizo zimeongezwa na jumuia ya makampuni ya bima yaani Association of Tanzania Insurers-ATI ambapo habari za ndani kabisa ya kikao hicho ni kwamba ongezeko hilo halikuzingatia hali halisi ya kipato cha wana nchi wala Uchumi wa nchi au gharama za madai zitokanazo na bima za magari bali kimeangalia zaidi faida kwa kampuni hayo
gharama za chini kwa bima ya kawaida yaani third party kwa magari ya mizigo yaani Trucks yamepanda kutoka Tshs 100,000/- mpaka Ths 750,000/-
magari ya mafuta yaani tankers kutoka Tshs 150,000/= mpaka Tshs 1,000,000/-
GHARAMA HIZO NI KWA GARI ZOTE ZA MIZIGO IKIWA NI PICK UP AU CANTERS AU TRAILERS AMA TRUCKS.
UKIANGALIA GHARAMA HIZO NI ZA JUU SANA NA WATU WENGI SASA WANAWEZA KUENDESHA MAGARI BILA YA INSURANCE.
HABARI ZA NDANI NI KUWA MASHIRIKA YA BIMA YA SERIKALI ZIC NA NIC YALIKATAA ONGEZEKO HILO LAKINI kutokana na WINGI WA MAKAMPUNI YA PRIVATE HIVYo IKALAZIMIKA KUPITISHWA.
PIA HABARI ZA NDANI YA KIKAO CHA "ATI" NI KUWA MAKAMPUNI MENGI HAYATAKI KUTOA BIMA ZA MAGARI HIVYO NI KAMA KUWAKOMOA WATANZANIA.
UPANDE WA DALA DALA ZIMEPANDA KUTOKA Tshs 7,500/- kwa kila seat moja mpaka Tshs 15,000/-
mabasi ya mikoani kutoka Tshs 10,000/- kwa seat moja hadi Tshs 25,000/-
taxis kutoka Tshs 60,0000/- hadi Tshs 150,000/-
magari binafsi Tshs 40,000/- mpaka Tshs 100,000/-
magari ya school ya wanafunzi kutoka Tshs 5,000/- kwa seat hadi Tshs 15,000/- kwa seat moja.
gharama hizi bila shaka zitaathiri gharama za uchukuzi na kugharimu shughuli za uchumi.
mfano ubebaji wa mafuta na abiria , mizigo na mafuta.
Pia katika gharama hizo kuna ongezeko kubwa la bima kubwa yaani comprehensive
mfano tankers imepanda kutoka 4% ya thamani ya gari mpaka 9%
kwa hio gari mpya ya gari ya scania inayofikia USD 300,000 bima yake itakuwa ni USD 27,000/- hii ni sawa na akufukuzae hakwambii toka.
cha ajabu ni kwa nini TIRA imekubali kila kitu kama ili vo pendekezwa na ATI bila ya kulinda maslahi ya walaji, uchumi wa nchi na wao TIRA wameangalia zaidi maslahi ya makampuni katika kupata faida.
nchi nyingi Regulators ndio wanahusikaa kupandisha ama kushusha gharama za bima ya magari kwa sababu bima hizo ni lazima kwa mujubu wa sheria. Na uwezo wa kupandisha kitaalam TIRA Wanao kwani wanazo data zote za makampuni ya bima na wana jua loss ratio iliopo kwenye soko.
lakini hili la kupandisha bima ya third party kwa pick up ya tani moja kuwa Tshs 750,000 kweli TIRA wamechemsha
sasa nusura yetu ipo kwa fair competion commision kuangalia suala hili
Gharama za uendeshaji wa magari ya abiria kama Dala dala, Taxis, Magari ya mizigo na mafuta yataongezeka maradufu kuazia March 2013.