Gharama za gari aina ya Hummer

Haya alete nae picha ya gari yake hapa Sio unaanza kubisha gari za kiume eti ni za kizamani Na akiendelea kubisha namletea Bill of loading ya Hammer H2 ambayo inaelea baharini muda huu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hammer 2-3 Nigari la kivita msiojua Hammer ya kivita ni hile mkiona Rais wa Tanzania anaapishwa huwa anapanda limepambwa kapet nyekundu ndo hammer

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hopeless
 
Iv Hummer H3 hua n bullet proof?? Iko na nn cha zaid ukilinganisha na magari mengine kwenye suala la usalama-Safety.
 
One thing that I admire about Hummer is it's high offload capabilty when comes to rough and tough terrains like some of countryside places , it is surely pretty ideal and useful when comes to that matter
 
Hummer yenye Cc nyingi huwa zinakua ngapi
 
What do you do for a living mister?
 
Vitz ni vigar bya watoto wa primary kwende shule au wadada wa kazi wanapoenda sokoni. Lakini huwez mwanaume ukawa unaendesha vitz. Ni aibu sana. Mimi natumia gari cc kuanzia angalau 3000 kwenda juu
Gudume nimeshaagiza ule mzigo,hawa mafala wanaotumia vitz watapata tabu sana sisi tunatumia magari ya kiume ya bei ghali,vitz tunawaachia wake zetu na michepuko yetu mamaeee
 
Unamiliki gari ambalo linaweza kuoshwa kwenye sinki moja na vyombo.(Mpoki Voice)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…