Gharama za gari aina ya Hummer

duhh aisee kumbe ni mm tuu sina hela, hata mawazo ya kuchabgia kuhusu hayo ma Hummer na Range naogopa[emoji125][emoji125], Wakuu vp na hale magari ya mwendo kasi c ni mazuri au yanakula mafuta sana niache kuyapanda kbsa maana hela ngumuu[emoji3] [emoji3]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
A fool at his best
At least a fool can claim to be a Shakespearean fool, a court jester, a Socratic seeker, a quantum physics researcher. All these must entertain being fools if they are to get anywhere in their paths.

You embody the epitome of a spineless earthworm who lacks even the most basic of reflex actions, let alone the thinking capacity of a developed brain.

You should call yourself Guluguja, Nyenyere is rather flattering.
 
I'm done with you
 
Binafs nguvu yangu ni ya magar ya kuanzia m30 kushuka chini ila binafs hummer mimi an kubali sana jinsi lilivo zikiniangukia pesa Mimi naoivuta tu bila kujali ni old fusion au la!Mbona RV4 Old model bado zinatamba mitaani2! Swala la ulaji wa mafuta ni uwezo wa mtu akina my weather ,Cr7 wenye kutembelea magar ya Billion kadhaa mbona hatuwaongelei !Sembuse gar la cc3500 au 4000 wakat wengine budget ya wizara au ya Mkoa ndo anatembelea mtaani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
We Nyenyere kwanza hata hujui tofauti ya "hammer" na "Hummer".

Utaelewa vipi ninachoandika hapa?

Jifunze spelling kwanza.

Lakini alicho maanisha umekielewa ,sio ?..Umeyaponda sana haya Magari kwa sababu nyingi za kiuchumi ,mara yanakula mafuta mara yana nguvu nyingi zisizo hitajika mara yanauzwa bei ghali na hayana uzuri wowote sababu kibaaao zisizo leta maana kwa wengine..

Kumbuka wanao nunua Magari ya aina mbalimbali na yenye kutofautiana uwezo wanazo sababu zao lukuki.Yupo mdau hapo juu amekueleza wapo wanao tafuta Suzuki Maruti ktk zama hizi bado umeshindwa kumuelewa..

Ukitaka kujadiliana jambo na Watu jaribu kuwa huru na usikipende kitu au kukichukia kitu kupita kiasi ..
 

Haya ndio mawazo huru sasa ...
 
Mkuu umewahi kuendesha H2T?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watu wanaendesha Volkswagen za kizamani itakuwa hammer? Hebu tuache sifa za kijinga, wacha watu wanunue. Wengine wanatafuta Suzuki escudo, wengine maruti. Halafu mswahili mmoja anaponda hammer Eti imepitwa na wakati.
Hata.mimi namshangaa mtu anesema Hummer za kizamani Sinauhakika kama wanafahamu uzuri wa H2T

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimeisha lipia Hummer H2 ya mwaka 2006 ipo njiani inakuja So mwenye kujifanya anzijua sana Hummer afunge domo lake. au aonyeshe gari alotembelea now. Mtu huna hata Toyota Vitz unaanza kubishana hapa kuhusu Hummer Shut up. Mi naendeha GMC cc500 Nina X5 cc400 Now navuta H2 cc600. Funga domo lako pls.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…