Gharama za gari aina ya Hummer

Gharama za gari aina ya Hummer

Hi gari ni Kati ya magari mabovu kabisa wamshukuru Arnold Schwarznegger kuipiga promo kabla ya hapo hakuna Kiumbe alikuwa anajua hili gari.
 
Nilisema ukianza kumuelezea habari za carbon emissions mtu ambaye hajui tofauti ya hammer na Hummer utaanzia wapi mpaka akuelewe?

Maswali yako haya yanaonyesha kwamba nilikuwa sahihi.

Wewe hujafuta ujinga.

Ndiyo tatizo lako.

Hujui kusoma, hujui kuandika.

You are illiterate.

Ukijua kusoma na kuandika, labda tutaweza kuelewana.
Poaaaa al-- wattan wewe una akili saaaaanaaà mshkaji wangu hahaaa a sasa kwa akili yako unadhani Mimi sijui KUHUSU carbon emission????? Unavyojidai utafikiri wewe ndiye uliyegundua KUHUSU carbon emission hahaaa by the way kila mtu afanye yakeee
 
Poaaaa al-- wattan wewe una akili saaaaanaaà mshkaji wangu hahaaa a sasa kwa akili yako unadhani Mimi sijui KUHUSU carbon emission????? Unavyojidai utafikiri wewe ndiye uliyegundua KUHUSU carbon emission hahaaa by the way kila mtu afanye yakeee
Sasa kama kila mtu afanye yake mbona wewe unakataa mimi nikisema Hummer ni gari fulani ambazo leo wanaendesha wanyela ambao hawajui mtindo ya 1990s iliyopitwa na wakati leo?

Ukipenda bwanga la miaka ya 1970s leo, unaruhusiwa, kwa sababu ndicho ulichopenda.

Lakini tukisema umevaa mtindo wa 1970s kama mshamba usiyejua kwenda na wakati tutakuwa tumekosea?
 
Yap, ni mshamba totally. Hio gari sikuwahi ipenda na sitakaa niipende. Hao GM walipoteza tu hela zao
Hawakupoteza hela GM wanaendelea na production za hammer kwa ajili ya us army na muanzilishi wa hammer ni Anord Schwartznigger alitoa oder akatengenezewa na watu wakaanza kuyapenda GM wakaanza kutengeneza kwa ajili ya civilians ila ukweli Hammer haina urembo wowote ni gari ya kudrow attension basi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hawakupoteza hela GM wanaendelea na production za hammer kwa ajili ya us army na muanzilishi wa hammer ni Anord Schwartznigger alitoa oder akatengenezewa na watu wakaanza kuyapenda GM wakaanza kutengeneza kwa ajili ya civilians ila ukweli Hammer haina urembo wowote ni gari ya kudrow attension basi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Unataka kuniambia hio hammer infanya vyema sokoni kuzidi Escalade ama Chevrolet?
 
Ulimwengu mzima unaondoka katika ma gas guzzlers na kwenda kwenye more efficiency, kwa hiyo Escudo vs Hummer, Escudo inaenda na wakati zaidi.

Kwa sababu za uchumi, kwa sababu za kujali mazingira, kwa parking, kwa kuwa practical, kwa sababu nyingi sana.

Nimerudi Tanzania nimemkuta rafiki yangu mmoja, ana hela ya kuendesha gari yoyote, anaendesha kigari kidogo hivi. Yeye tangu zamani ni mtu wa Vitara na gari kama hizo, lakini hiki kilikuwa kidogo zaidi.

Nikashangaa huyu vipi? Nikakumbuka huyu alisoma na kuishi Uingereza, kashapata falsafa ya kuendesha vigari vidogo ambavyo havitumii mafuta sana.

Na huyu hana shida ya kusema kanunua gari hilo kwa sababu hana hela. Anaweza kubadili magari "ya maana" kila baada ya miaka mitatu bila kusikia uchungu.

Ila ni mtu anayeelewa uchumi, anaelewa mazingira, anaelewa kwamba hahitaji gari lenye engine kubwa kwa safari zake.

Mtu kama huyu limbukeni anayelimbukia Hummer anaweza kumcheka kwamba anaendesha kigari kidogo, ila kwa mtu anayeangalia carbon emissions ataelewa huyu anafanya nini.

Tatizo ukianza kumwambia mtu ambaye hajui tofauti ya hammer na Hummer kuhusu carbon emissions ataanza kukuelewa wapi?
Habari za uchafuzi wa mazingira ni mbele huko si huku tunatwanga ma v8,v10 hata v12 ikikaa sawa ni mbele kwa mbele.



In white-collar crime, there are ink stains instead of bloodstains.
 
Nimeshindwa kabisa kukaa kimya maana hizi gari za HUMMER uwa naziona kwa nnje tu ila ndani yake sijui pakoje, alafu linaonekana lilitengenezwa mahususi kwa ajili ya kupita kwenye shida shida kama makorongo, mito, na milima mikali mikali, ofcoz lina sura mbaya zaidi ya trekta siwezi ata lisifia kwa muonekano wake kwa kweli. Mara nyingi uwa namuona baba Pastor Gwajma akipita hapa akipita pale ila uwa sielewi raha yake labda sababu ni manual na limekaa juu juu ka mende anayekimbizwa, acha tu niendeshe vitz yangu kwa kweli. Samahani kwa mapedeshee wenye HUMMER kama mmekereka
 
Nimeshindwa kabisa kukaa kimya maana hizi gari za HUMMER uwa naziona kwa nnje tu ila ndani yake sijui pakoje, alafu linaonekana lilitengenezwa mahususi kwa ajili ya kupita kwenye shida shida kama makorongo, mito, na milima mikali mikali, ofcoz lina sura mbaya zaidi ya trekta siwezi ata lisifia kwa muonekano wake kwa kweli. Mara nyingi uwa namuona baba Pastor Gwajma akipita hapa akipita pale ila uwa sielewi raha yake labda sababu ni manual na limekaa juu juu ka mende anayekimbizwa, acha tu niendeshe vitz yangu kwa kweli. Samahani kwa mapedeshee wenye HUMMER kama mmekereka
Na Mimi sipendi vitzzz gari gani kama kichuguuu,unakaaa kwa kujibana bana hata hewa haitoshi,vitz ni toy tu za watoto wa kike,gari gani INA engine Cc 1500 sasa hiyo gari au pikipiki??? Kigari gani hata kupanda mlima hakiwezi,Samahani kama nimekuudhi
 
Ni ujinga kuponda hummer. Sababu maybe flan usiyempenda anayo. Mtoa mada kauliza bei.aambiwe bei then achague anachotaka. Gari ni mapenzi ya roho yako. Ushamba ni pale unapolazimisha usichopenda wewe na mwenzio asipende. Gari kutumia mafuta ndo kinywaj chake.ulitaka itumie mafuta kidogo halaf itumie maji au supu? Kuna binadam wanakula ugal wa unga kila tatu na wengine wanakula robo kilo. Wanatofautiana uwezo. Nunua kitu roho inapenda. Siso wengine tunapenda magari ya kibabe kama hummer n.k
 
Vitz ni vigar bya watoto wa primary kwende shule au wadada wa kazi wanapoenda sokoni. Lakini huwez mwanaume ukawa unaendesha vitz. Ni aibu sana. Mimi natumia gari cc kuanzia angalau 3000 kwenda juu

Na Mimi sipendi vitzzz gari gani kama kichuguuu,unakaaa kwa kujibana bana hata hewa haitoshi,vitz ni toy tu za watoto wa kike,gari gani INA engine Cc 1500 sasa hiyo gari au pikipiki??? Kigari gani hata kupanda mlima hakiwezi,Samahani kama nimekuudhi
 
Wakuu habari,kuna jamaa anafanya biashara ya kuagiza magari,ananiambia hummer h3 inauzwa kwa milioni 70 yaani hapo gharama zote mpaka ushuru na kila KITU,Hivi hizi ni habari sahihi kweli???? Haya magari si yanauzwa milioni 300?

Sent using Jamii Forums mobile app
Nakushauri usitafute ugonjwa wa moyo! Kule posta lipo moja jamaa kashusha bei mpaka 45M lakini linakimbiwa....
Posta masaki kwenda ma kurudi liter 20 linamaliza

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni ujinga kuponda hummer. Sababu maybe flan usiyempenda anayo. Mtoa mada kauliza bei.aambiwe bei then achague anachotaka. Gari ni mapenzi ya roho yako. Ushamba ni pale unapolazimisha usichopenda wewe na mwenzio asipende. Gari kutumia mafuta ndo kinywaj chake.ulitaka itumie mafuta kidogo halaf itumie maji au supu? Kuna binadam wanakula ugal wa unga kila tatu na wengine wanakula robo kilo. Wanatofautiana uwezo. Nunua kitu roho inapenda. Siso wengine tunapenda magari ya kibabe kama hummer n.k
Umemaliza kila kituuu,kuna mtu hapo ananilazimisha nitumie vitz eti kwasababu hummer inatumia mafuta mengii,kwani mafuta ananisaidia kununua???
 
Ukiona mtu anaponda hummer jua kazoea magar ya japan yaliyorembwa rembwa.Hummer gar ya kiume.na ndo gari nzuri zakimarekani kwa wanaume wa shoka.GM wana magari bana,angalia vitu kama GMC,chevololet,escaled,cadillac.Kuna hii kitu GMC terrain ni shida.
 
Back
Top Bottom