donlucchese
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 17,128
- 21,885
Sorry, haya mambo yasitufanye tuvunjiane heshima. Mimi sio dogo, tuishie hapo
Sent from my CPH2059 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sorry, haya mambo yasitufanye tuvunjiane heshima. Mimi sio dogo, tuishie hapo
Na hii wala haihusiani na uhai wa ndoa. Ndoa inaanza baada ya hapo.
Mimi nilifunga ndoa ya kibabe, sherehe ikafanyika nchi mbili Afrika na moja tukaifanya ulaya.
Leo nina mke mwingine mwaka wa nne. Japo nimemuoa kwa ndoa ila kutokana na uzoefu niliyoipata kwenye ndoa ya kwanza, hii ndoa ya pili kwanza ilifungiwa bomani, mashahidi niliwachukua wawili tu, pete nikaokoteza za shilingi elfu kumi tu kwa pete zote mbili.
Japo mke wangu alitaka sherehe za namna hii na japo nina uwezo wa kumfanyia hivyo bila hata mchango, nilikataa katakataa ikabidi achague kuolewa au arusi.
Sherehe ni muhimu na inaleta furaha ila pia inatia huzuni baadae mambo yakienda kombo. Inaongeza umasikini ukiiangalia kwa jicho lingine, ni matumizi ambayo wengi tunajutia japo kimya kimya.
Unanitisha dogo ama?Sorry, haya mambo yasitufanye tuvunjiane heshima. Mimi sio dogo, tuishie hapo
Sent from my CPH2059 using JamiiForums mobile app
Ndoa za hivi hazidumu..kwani Aristotle ni nani?
Na hii wala haihusiani na uhai wa ndoa. Ndoa inaanza baada ya hapo.
Mimi nilifunga ndoa ya kibabe, sherehe ikafanyika nchi mbili Afrika na moja tukaifanya ulaya.
Leo nina mke mwingine mwaka wa nne. Japo nimemuoa kwa ndoa ila kutokana na uzoefu niliyoipata kwenye ndoa ya kwanza, hii ndoa ya pili kwanza ilifungiwa bomani, mashahidi niliwachukua wawili tu, pete nikaokoteza za shilingi elfu kumi tu kwa pete zote mbili.
Japo mke wangu alitaka sherehe za namna hii na japo nina uwezo wa kumfanyia hivyo bila hata mchango, nilikataa katakataa ikabidi achague kuolewa au arusi.
Sherehe ni muhimu na inaleta furaha ila pia inatia huzuni baadae mambo yakienda kombo. Inaongeza umasikini ukiiangalia kwa jicho lingine, ni matumizi ambayo wengi tunajutia japo kimya kimya.
Ngariba haogopagi mkojo dogo[emoji23]
Hivi wale wadada hivi uwaga wanapenda wapostiwe au wanalazimishwa..au wanajiuza??Saluni yake unanunua Wigi unakatishwa maunooo!!wadada jamani mtihani sana!
Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
Ile ni business kaka...yaani hakuposti mpk umuambie pale...!!wale wako kwenye matangazo ya biashara!Hivi wale wadada hivi uwaga wanapenda wapostiwe au wanalazimishwa..au wanajiuza??
ndo nani hyu??