donlucchese
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 17,128
- 21,885
[emoji23][emoji23][emoji23] kwamba nyucci ni zile zile. Ila wanasema mchele mmoja mapishi tofautiNafurahi kama umefurahi mkuu wangu, nipoo[emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23] kwamba nyucci ni zile zile. Ila wanasema mchele mmoja mapishi tofautiNafurahi kama umefurahi mkuu wangu, nipoo[emoji23]
Halafu kulikua na ulazima gani wa kujifagilia vile na kutuma bajeti yao mapema wakati make up tu ya bi harusi tu ni mauza uza😐Hiyo hela waitoe wapi[emoji23][emoji23] make up ya mkewe tu imechunda.
Wametuvalia ronya ronya. Gari yenyewe matako ya nyani. Wapeleke makantagio kule
Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Sasa unataka nikaseme nini nawaomba mfunge ndoa jamani? nimekujibu hakuna dini yoyote duniani yenye kuruhusu huu ujinga sasa kama wewe waumini wako au kondoo wako tu sheria ya msingi kama hii wanavunja kazi imekushinda. Viva Kenya huna ndoa huna lako kisheria basi watapata akili wenyewe.Naona umeanza na Mungu ukamalizia na mamlaka za kidunia hata swali nililo kuuliza hujajibu bali una ruka ruka kama bisi jikoni.
Kijana mwenyewe ni yule aliepewa cheo cha mweka hazina wa chama ?
Make up tunajuaga range ni 250,000/=Halafu kulikua na ulazima gani wa kujifagilia vile na kutuma bajeti yao mapema wakati haya make up tu ya bi harusi tu ni mauza uza
Nimesema hii sio isolated case hii ndio imekuwa fashion watu wanaishi mpaka uzee ndio unabariki sasa unabariki nini? ingekuwa inatokea mtu mmoja au uchache ningesema ok labda nasema 95% ndio hivyo watoto zao ndio wanakuja kushika mauwa kwenye harusi. Point yangu hii sio sawa kwa dini zote ila kama huna dini poa pia maana hata kufunga ndoa sio muhimu.Kwa hiyo kama walishaishi ni bora wasibariki kabisa, mistakes zimeshafanyika yeah so what's wrong wakiamua watoke kwenye 'zinaa' na waingie kwenye kuhalisha(kurekebisha makosa) ili wawe na baraka kadri ya imani yao inavyoelekeza.
Better late than never.
DC si ni bibi harusi mtarajiwa wa tajiri kijana mjini.
Sasa wanahangaika na nini?[emoji2960][emoji2960][emoji2960][emoji2960]Nyuchi ni zile zile mkuu kama zetu, hamnaga za gold wala tanzanite [emoji23]
Mimi nimehisi wamechangisha ila watabana hela..yani lazimaHii budget sio ya mchongo kweli.
Hawa wamechangisha hela ila wamejibana watatue matatizo yao..sio kwa nywele Darling ya efu 7 na Gel..kahHiyo hela waitoe wapi[emoji23][emoji23] make up ya mkewe tu imechunda.
Wametuvalia ronya ronya. Gari yenyewe matako ya nyani. Wapeleke makantagio kule
Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Mamii, hakuna 180 hapo hata usiamini. Uongo. Hata mond hana na hawezi toa hiyo hela. They are all fake.Hawa wamechangisha hela ila wamejibana watatue matatizo yao..sio kwa nywele Darling ya efu 7 na Gel..kah
Aah ila wote si tunashiba mkuu, basi ni yaleyale tu😂😂[emoji23][emoji23][emoji23] kwamba nyucci ni zile zile. Ila wanasema mchele mmoja mapishi tofauti
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Usanii kumbeMamii, hakuna 180 hapo hata usiamini. Uongo. Hata mond hana na hawezi toa hiyo hela. They are all fake.
Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Mhh hapana kwakeli sio kwa budget hio na mwonekano huu....
Afu huyu dada mzuri tu siku za kawaida, sijui kapambwa na nani
Kama hakuchangiwa ni pesa zake, ila kama alichangisha ni ushamba tu.
Chawa president😂😂Hawa ndio wake sasa, Aristote nampa heko baada ya kukamlisha utaratibu wa probation kama ilivyoada.
Hio ndoa lazma idumu maana ameoa mke haswa sio hawa wapuuzi ma slay queens! Mwanamke anaeweza kumvumilia aristote toka kapuku hadi kuwa Chawa President mwenye biashara kubwa mjini ni jambo la kushukuru.
Divaglam Huyo[emoji16][emoji16][emoji16]yaani watamani kulia then bi harusi anaonekana kabisa hakua comfortable sijui kwa nini na ile kuvaa migauni meupe kuanzia church to reception kaah!sijaona kama ni nzuri sana!Wtf? Ni divaglam?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119]
Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Wanakua wako kibiashara pale wanatangaza ukimuelewa unamcheki mzee wa vikao baasi mambo yanakua mengi!Nadhani wadada uwa wanapenda..Wengine wanaenda pale kwa sababu hiyo..
Kabisaa yaani...Na anaonekana mkimya hapendi spotlight za mmewe!Hawa ndio wake sasa, Aristote nampa heko baada ya kukamlisha utaratibu wa probation kama ilivyoada.
Hio ndoa lazma idumu maana ameoa mke haswa sio hawa wapuuzi ma slay queens! Mwanamke anaeweza kumvumilia aristote toka kapuku hadi kuwa Chawa President mwenye biashara kubwa mjini ni jambo la kushukuru.