mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 88,759
- 123,368
Jamaa mtu wa wapiHuyo si president wa machawa
Maana mbona rekodi yake watu hawana
Ni mbongo kweli au mhamiaji
Ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamaa mtu wa wapiHuyo si president wa machawa
Huyo forena tu sema kwa kuwa kashakuwa maarufu watu hawamzingatii ni kama dokii tuJamaa mtu wa wapi
Maana mbona rekodi yake watu hawana
Ni mbongo kweli au mhamiaji
Ova
Eeeeh huu ubuyu wa moto, sio j kwa f? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] weuweeeeeehHii harusi jana imeibua mambooo
Kumbe kuna DC ana tembea na kijana mmoja maarufu ?
Maana niliona jana kuna fundi charahani mshona suti aliongea kwa huzuni ..kisha akatoa 5M ..uteuzi wa huyo Dc ungetenguliwa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kumbe ndoa iko njiani?DC si ni bibi harusi mtarajiwa wa tajiri kijana mjini.
Wamatengo washakula kibani? [emoji23][emoji23][emoji23] mbna huu ubuyu wa moto.Posa ilishatolewa mbona, DC atakua Mrs soon.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] dea upo? Nlikumic ujue,Hiyo hela waitoe wapi[emoji23][emoji23] make up ya mkewe tu imechunda.
Wametuvalia ronya ronya. Gari yenyewe matako ya nyani. Wapeleke makantagio kule
Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Yani nisingekuona hapa ningekufata[emoji23]. Waite wenzio kina Dinazarde mtuambie kama kelele za mtandaoni zilikuwa realistic au kutusumbua tuHiyo hela waitoe wapi[emoji23][emoji23] make up ya mkewe tu imechunda.
Wametuvalia ronya ronya. Gari yenyewe matako ya nyani. Wapeleke makantagio kule
Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Aisee.. naboreka sana watu wanaofake maisha kama hivi. In deep hakuna watu wenye maisha magumu kama wasanii. Waongo mnoo. My ex boyfriend nilijagundua anajiassociate na hawa wasanii. Nilimkimbia fasterr. Wanadangaaa[emoji119][emoji119] wanalalwa jamani. Mbususu zao zinatesekaYani nisingekuona hapa ningekufata[emoji23]. Waite wenzio kina Dinazarde mtuambie kama kelele za mtandaoni zilikuwa realistic au kutusumbua tu
Nipo nawashangaa hawa wajinga tu. Nyuma ya pazia wanajua maisha yanavyowatesa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] dea upo? Nlikumic ujue,
Mwanamke yoyote unaishi huna ndoa utaitwa jina lolote ndio maana Kenya nawaunga mkono huna ndoa huna lako hata ukae na mwanammke miaka 50 ndio wanatakiwa waingize akili. Miaka 13 mtu unalala naye na kumzalia je angesema nime test ila baada ya miaka 13 sasa natafuta nayemtaka. Wewe nani huyo atakupokea huna lolote na ukichanganya na sheria za Kenya huna lolote. Ok chumbiwa lakini uchumba sio wa miaka 13 ukienda kuishi na mwanamme bila ndoa wewe kimada tu sio mke.Kwa hiyo utawaacha wa endelee kuishi maisha bila ya ndoa na kuwa ambia vimada hakuna kurithi ?
Hivi unajua maana ya kimada.
Naona umeanza na Mungu ukamalizia na mamlaka za kidunia hata swali nililo kuuliza hujajibu bali una ruka ruka kama bisi jikoni.Mwanamke yoyote unaishi huna ndoa utaitwa jina lolote ndio maana Kenya nawaunga mkono huna ndoa huna lako hata ukae na mwanammke miaka 50 ndio wanatakiwa waingize akili. Miaka 13 mtu unalala naye na kumzalia je angesema nime test ila baada ya miaka 13 sasa natafuta nayemtaka. Wewe nani huyo atakupokea huna lolote na ukichanganya na sheria za Kenya huna lolote. Ok chumbiwa lakini uchumba sio wa miaka 13 ukienda kuishi na mwanamme bila ndoa wewe kimada tu sio mke.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan had aibu kwa kweli.Saluni yake unanunua Wigi unakatishwa maunooo!!wadada jamani mtihani sana!
Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] make up ya bibi harus imechunda, pesa hakna au mpambaji ana kisirani nae, yaan bora Mrs prof J kawaka,Nipo nawashangaa hawa wajinga tu. Nyuma ya pazia wanajua maisha yanavyowatesa
Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Sana ni mtu wa watu na anajichanganya sana alafu huwezi mchukia maana anavituko sana[emoji38]Aristote na Emmily, walikua kwenye uchumba sugu hatimae...
Ila jamaa anajitoa sana kwa wenzake acha iwe hivyo...
Sana Dada mkimya sana...hanaga shida ndo maana kaona bora aoe..wadada wa mjini nani angewezana nae??!!Ila mke pale kapata mwanamke hana makuu maskin yupo yupo tu
Wamejitahidi