Gharama za harusi ya Aristote ni kufuru

Gharama za harusi ya Aristote ni kufuru

Hii harusi jana imeibua mambooo
Kumbe kuna DC ana tembea na kijana mmoja maarufu ?
Maana niliona jana kuna fundi charahani mshona suti aliongea kwa huzuni ..kisha akatoa 5M ..uteuzi wa huyo Dc ungetenguliwa
Eeeeh huu ubuyu wa moto, sio j kwa f? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] weuweeeeeeh
 
Hiyo hela waitoe wapi[emoji23][emoji23] make up ya mkewe tu imechunda.
Wametuvalia ronya ronya. Gari yenyewe matako ya nyani. Wapeleke makantagio kule

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Yani nisingekuona hapa ningekufata[emoji23]. Waite wenzio kina Dinazarde mtuambie kama kelele za mtandaoni zilikuwa realistic au kutusumbua tu
 
Yani nisingekuona hapa ningekufata[emoji23]. Waite wenzio kina Dinazarde mtuambie kama kelele za mtandaoni zilikuwa realistic au kutusumbua tu
Aisee.. naboreka sana watu wanaofake maisha kama hivi. In deep hakuna watu wenye maisha magumu kama wasanii. Waongo mnoo. My ex boyfriend nilijagundua anajiassociate na hawa wasanii. Nilimkimbia fasterr. Wanadangaaa[emoji119][emoji119] wanalalwa jamani. Mbususu zao zinateseka
Wa kiume nao wanadangaaa. Zawadi alizotoa mond si umeona zilivyo fake? Ile gari ya esma tu iko wapi? Assets tueaonazo nazo ni mali za wakubwa ambao hawataki tu kuwa front. Ndo maana wanaishia kubwia unga

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
 
Kwa hiyo utawaacha wa endelee kuishi maisha bila ya ndoa na kuwa ambia vimada hakuna kurithi ?

Hivi unajua maana ya kimada.
Mwanamke yoyote unaishi huna ndoa utaitwa jina lolote ndio maana Kenya nawaunga mkono huna ndoa huna lako hata ukae na mwanammke miaka 50 ndio wanatakiwa waingize akili. Miaka 13 mtu unalala naye na kumzalia je angesema nime test ila baada ya miaka 13 sasa natafuta nayemtaka. Wewe nani huyo atakupokea huna lolote na ukichanganya na sheria za Kenya huna lolote. Ok chumbiwa lakini uchumba sio wa miaka 13 ukienda kuishi na mwanamme bila ndoa wewe kimada tu sio mke.
 
Mwanamke yoyote unaishi huna ndoa utaitwa jina lolote ndio maana Kenya nawaunga mkono huna ndoa huna lako hata ukae na mwanammke miaka 50 ndio wanatakiwa waingize akili. Miaka 13 mtu unalala naye na kumzalia je angesema nime test ila baada ya miaka 13 sasa natafuta nayemtaka. Wewe nani huyo atakupokea huna lolote na ukichanganya na sheria za Kenya huna lolote. Ok chumbiwa lakini uchumba sio wa miaka 13 ukienda kuishi na mwanamme bila ndoa wewe kimada tu sio mke.
Naona umeanza na Mungu ukamalizia na mamlaka za kidunia hata swali nililo kuuliza hujajibu bali una ruka ruka kama bisi jikoni.
 
Nipo nawashangaa hawa wajinga tu. Nyuma ya pazia wanajua maisha yanavyowatesa

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] make up ya bibi harus imechunda, pesa hakna au mpambaji ana kisirani nae, yaan bora Mrs prof J kawaka,

Yaan full vituko, kuja, mavazi mie hoi. [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ngoja nikimbie kwa gara kubwa..nikaona yaliyoendelea
 
Back
Top Bottom