Gharama za harusi ya Aristote ni kufuru

Gharama za harusi ya Aristote ni kufuru

Hii harusi jana imeibua mambooo
Kumbe kuna DC ana tembea na kijana mmoja maarufu ?
Maana niliona jana kuna fundi charahani mshona suti aliongea kwa huzuni ..kisha akatoa 5M ..uteuzi wa huyo Dc ungetenguliwa
 
Hii harusi jana imeibua mambooo
Kumbe kuna DC ana tembea na kijana mmoja maarufu ?
Maana niliona jana kuna fundi charahani mshona suti aliongea kwa huzuni ..kisha akatoa 5M ..uteuzi wa huyo Dc ungetenguliwa
Sasa hapa ndyo panahtaj ufafanuz chief kabla hatujaenda kanisan mkuu fafanua
 
Gharama zote hizo ni kwa ajili ya kubariki ndoa tu ama? Huyo mwanamke si walishaishi wote pamoja hao
Nimesikilia mahojiano baada ya kutoka kanisani mwanamke anasema baada ya kuishi miaka 13 sasa tutazeeka pamoja. Nikashtuka mtu umeishi miaka 13 leo ndio ndoa? Hivi hizi ndoa zina raha gani? Raha ya ndoa ni ile hali siku ya kwanza ndio kweli siku ya kwanza sio mmeshalala huko mnajuwana ndio mnakuja leta ndoa ndio maana hata sura za furaha hawana ni kama wamelazimishwa. Mimi naamini siku ya furaha kwa mtu yoyote ni siku ya ndoa lakini iwe ndoa kweli kwa maana unapewa mke kwa mara ya kwanza lakini hii system siku hizi tunabariki umeishi na mtu na kuzaa sasa hata usia gani wa kupewa nyinyi maana mmeshakubuhu. Hizi kwangu mimi wala sio ndoa ujinga tu.
 
Nimesikilia mahojiano baada ya kutoka kanisani mwanamke anasema baada ya kuishi miaka 13 sasa tutazeeka pamoja. Nikashtuka mtu umeishi miaka 13 leo ndio ndoa? Hivi hizi ndoa zina raha gani? Raha ya ndoa ni ile hali siku ya kwanza ndio kweli siku ya kwanza sio mmeshalala huko mnajuwana ndio mnakuja leta ndoa ndio maana hata sura za furaha hawana ni kama wamelazimishwa. Mimi naamini siku ya furaha kwa mtu yoyote ni siku ya ndoa lakini iwe ndoa kweli kwa maana unapewa mke kwa mara ya kwanza lakini hii system siku hizi tunabariki umeishi na mtu na kuzaa sasa hata usia gani wa kupewa nyinyi maana mmeshakubuhu. Hizi kwangu mimi wala sio ndoa ujinga tu.
Sasa hii ndio ndoa miaka 13 washapitia mengi wana juana nje ndani.

Na kanisa ndoa kama hizi mapadri wana zitaka sana mimi kwenye barokia yangu baba paroko alizitafuta couple 200 ambazo zilikuwa zinaishi bila ndoa, akawa shauri wakafunga ndoa na zilikuwa Simple.
 
Sasa hii ndio ndoa miaka 13 washapitia mengi wana juana nje ndani.

Na kanisa ndoa kama hizi mapadri wana zitaka sana mimi kwenye barokia yangu baba paroko alizitafuta couple 200 ambazo zilikuwa zinaishi bila ndoa, akawa shauri wakafunga ndoa na zilikuwa Simple.
Hakuna dini inayoruhusu zinaa hakuna, kukaa miaka 13 unabariki zinaa halafu unakuja unabariki ndoa haileti maana yoyote. Dini zote na maanisha dini zote mtu alete kifungu kimoja kinayoruhusu haya unayosema yanawafurahisha mapadri? Mungu na vitabu vya dini vimeongelea wazi hili vitabu vyote wapi haya yameruhusiwa? Hii point tumeshajuana ndio ndoa haina mashiko ziko ndoa nyingi zimekufa baada ya kubariki na ziko ndoa zile unamjuwa siku ya kwanza kuishi naye pia zimekufa lakini ndoa nyingi pia zimefuzu. Turudi kwenye maana halisi ya ndoa kwa mujibu wa imani zetu na tamaduni zetu. kwangu mimi hizi sio ndoa ni kama birthday tu
 
Hakuna dini inayoruhusu zinaa hakuna, kukaa miaka 13 unabariki zinaa halafu unakuja unabariki ndoa haileti maana yoyote. Dini zote na maanisha dini zote mtu alete kifungu kimoja kinayoruhusu haya unayosema yanawafurahisha mapadri? Mungu na vitabu vya dini vimeongelea wazi hili vitabu vyote wapi haya yameruhusiwa? Hii point tumeshajuana ndio ndoa haina mashiko ziko ndoa nyingi zimekufa baada ya kubariki na ziko ndoa zile unamjuwa siku ya kwanza kuishi naye pia zimekufa lakini ndoa nyingi pia zimefuzu. Turudi kwenye maana halisi ya ndoa kwa mujibu wa imani zetu na tamaduni zetu. kwangu mimi hizi sio ndoa ni kama birthday tu
Hamna dini inayo halalisha zinaa, ila kila mtu ana nafasi ya pili mbele ya moyo wa Mungu na ndio maana viongozi wengi wa kiislam na kikristo wana sisitiza watu wanaoishi pamoja wa halalishe mahusiano yao kwa kufunga ndoa. Kwako sio ndoa au haina maana sababu una moyo wa kibinadamu,ila Mungu aliye waumba kwake ni ndoa halali sababu kondoo wake walipotea now wamerudi kwake kupitia ndoa.

Hizo ndoa labda ulizo ziona ww, ila ķwangu ndoa za type hizi nyingi zimetoboa miaka mingi.Najua Mungu kakataza zinaa, ila kama kiongozi wa dini umewakuta waumini wako washaishi pamoja na washazaa,utawafanya nini au utaendelea kuwalaani au kuwaambia wa badilike na kuhalalisha mahusiano yao kupitia ndoa.

Halafu ni kwambie kitu kazi ya viongozi wa dini moja wapo ni kuwatafuta walio potea na kuwarudisha kwenye njia atakayo Mungu.
 
Hakuna dini inayoruhusu zinaa hakuna, kukaa miaka 13 unabariki zinaa halafu unakuja unabariki ndoa haileti maana yoyote. Dini zote na maanisha dini zote mtu alete kifungu kimoja kinayoruhusu haya unayosema yanawafurahisha mapadri? Mungu na vitabu vya dini vimeongelea wazi hili vitabu vyote wapi haya yameruhusiwa? Hii point tumeshajuana ndio ndoa haina mashiko ziko ndoa nyingi zimekufa baada ya kubariki na ziko ndoa zile unamjuwa siku ya kwanza kuishi naye pia zimekufa lakini ndoa nyingi pia zimefuzu. Turudi kwenye maana halisi ya ndoa kwa mujibu wa imani zetu na tamaduni zetu. kwangu mimi hizi sio ndoa ni kama birthday tu
Sio kwamba kuna dini inafurahia,haya mambo yanakemewa kila siku makanisani,lakini wanachohamasisha wao ni kwa wale wameshaanza kuishi pamoja wasiendelee kuzini,wakabariki hizo ndoa zao ili ziwe halali!!!
 
Hamna dini inayo halalisha zinaa, ila kila mtu ana options ya pili mbele ya moyo wa Mungu na ndio maana viongozi wengi wa kiislam na kikristo wana sisitiza watu wanaoishi pamoja wa halalishe mahusiano yao kwa kufunga ndoa. Kwako sio ndoa au haina maana sababu una moyo wa kibinadamu,ila Mungu aliye waumba kwake ni ndoa halali sababu kondoo wake walipotea now wamerudi kwake kupitia ndoa.

Hizo ndoa labda ulizo ziona ww, ila ķwangu ndoa za type hizi nyingi zimetoboa miaka mingi.Najua Mungu kakataza zinaa, ila kama kiongozi wa dini umewakuta waumini wako washaishi pamoja na washazaa,utawafanya nini au utaendelea kuwalaani au kuwaambia wa badilike na kuhalalisha mahusiano yao kupitia ndoa.

Halafu ni kwambie kitu kazi ya viongozi wa dini moja wapo ni kuwatafuta walio potea na kuwarudisha kwenye njia atakayo Mungu.
atapotea mtu mmoja hawawezi kupotea wote, kupotea mtu kutokujuwa halafu akajuwa. sisi tumefanya ni sehemu ya maisha yetu. Swali la msingi je hii imekaa sawa? utapotea mwaka mtu miaka 13 unakuja kusema nilipotea wakati hiyo miaka 13 labda kila jumapili unafanya ibada au Ijumaa. Watu mpaka mnazeeka na watoto wanakuja kucheza harusi halafu unakuja unasema kondoo kapotea. Mimi kweli binadamu sasa nitajie hilo neno la Mungu alilohalalisha haya ya zinaa na ndoa kufuata.
 
Sio kwamba kuna dini inafurahia,haya mambo yanakemewa kila siku makanisani,lakini wanachohamasisha wao ni kwa wale wameshaanza kuishi pamoja wasiendelee kuzini,wakabariki hizo ndoa zao ili ziwe halali!!!
Vizuri wakakemea zaidi na wazazi wana sehemu ya lawama katika hili na jamii tunalawama katika hili hili jambo sio sawa unaweza ukakosa mwaka mtu kaishi miaka 13, kazaa, na birthday kibao na baraka za wazee humohumo na family zingine watu wa dini kabisa kwanini wasubiri kanisani waseme wasikae na watoto zao hili mnalofanya sio sawa kama mnapendana na mmeamua kuzaa kabisa fungeni ndoa. ogopeni Mungu katika hili sio sawa kabisa.
 
atapotea mtu mmoja hawawezi kupotea wote, kupotea mtu kutokujuwa halafu akajuwa. sisi tumefanya ni sehemu ya maisha yetu. Swali la msingi je hii imekaa sawa? utapotea mwaka mtu miaka 13 unakuja kusema nilipotea wakati hiyo miaka 13 labda kila jumapili unafanya ibada au Ijumaa. Watu mpaka mnazeeka na watoto wanakuja kucheza harusi halafu unakuja unasema kondoo kapotea. Mimi kweli binadamu sasa nitajie hilo neno la Mungu alilohalalisha haya ya zinaa na ndoa kufuata.
Mungu hajawahi kuhalaisha zinaa, ila ukiwa mzinifu ukaacha dhambi ya zinaa basi una nafasi ya msamaha mbele ya Mungu.

Neno la Mungu linasema binadam si mkamilifu ni mtu wa kukosea kila mara, Mungu. Wenyewe anasema samehe saba mara sabini ,bila shaka yy husamehe bila kuchoka na atakupokea haijalishi umekosea mara ngapi na kwa miaka mingapi, kwani furaha yake siku zote kukuona umekiri dhambi zako na umeji rekebisha,hao wamekiri dhambi zao na wamejirekebisha kupitia ndoa takatifu.
 
Back
Top Bottom