Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
Uchawa unalipa kuliko salonHongera yake,Sasa ana kazi nzuri lakini baro anajishusha kwenye uchawa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uchawa unalipa kuliko salonHongera yake,Sasa ana kazi nzuri lakini baro anajishusha kwenye uchawa
Kwanza ondoa neno baadhi ni wote sema maana imekuwa fashion. Ukiona hivyo ujuwe kama kiongozi wa dini kazi imekushinda maana unalofundisha wanafunzi wame failAssume wewe kiongozi wa dini na ukagundua baadhi ya waumini wako wanaishi bila ya kufunga ndoa, je kama wewe kiongozi wa dini utafanya nini?
Kuna watu mjini wanaishi sababu ya uchawa,kama hawa matajiri wa kiarabu kwenye kampuni zao wana machawa wanakula mishahara mikubwa kuliko wenye professional zao.Uchawa unalipa kuliko salon
Hujani jibu swali langu nime kuuliza assume ww ni kiongozi umepewa jamii ya watu wenye imani fulani uwaongoze, ktk jamii hiyo baadhi yao wanaishi bila ya ndoa, je wewe kama kiongozi wa utafanya nini?Kwanza ondoa neno baadhi ni wote sema maana imekuwa fashion. Ukiona hivyo ujuwe kama kiongozi wa dini kazi imekushinda maana unalofundisha wanafunzi wame fail
Nitafanya kama Kenya tu vimada hakuna kurithi basi watashika adabuHujani jibu swali langu nime kuuliza assume ww ni kiongozi umepewa jamii ya watu wenye imani fulani uwaongoze, ktk jamii hiyo baadhi yao wanaishi bila ya ndoa, je wewe kama kiongozi wa utafanya nini?
NB
Nimetumia neno baadhi sababu kwenye jamii hamuwezi kufanana.
Nitafanya kama Kenya tu vimada hakuna kurithi basi watashika adabu
Maana Kenya sheria rasmi huna ndoa wewe ni kimada tu hata ukae miaka 20 huna lako ndio watapata akiliNitafanya kama Kenya tu vimada hakuna kurithi basi watashika adabu
Hiyo hela waitoe wapi[emoji23][emoji23] make up ya mkewe tu imechunda.Gharama zote hizo ni kwa ajili ya kubariki ndoa tu ama? Huyo mwanamke si walishaishi wote pamoja hao
Kwa hiyo utawaacha wa endelee kuishi maisha bila ya ndoa na kuwa ambia vimada hakuna kurithi ?Nitafanya kama Kenya tu vimada hakuna kurithi basi watashika adabu
Achana na hiyo mambo ya kuwa walishaishi tatizo je gharama zilizoorodheshwa hapo Aristote amezinyea wap au ndio saloon tuuGharama zote hizo ni kwa ajili ya kubariki ndoa tu ama? Huyo mwanamke si walishaishi wote pamoja hao
Huyo si president wa machawaAchana na hiyo mambo ya kuwa walishaishi tatizo je gharama zilizoorodheshwa hapo Aristote amezinyea wap au ndio saloon tuu
Uchawa kumbe unalipa [emoji848]Huyo si president wa machawa
Hahahahahahah ni aibu kumuoa hawara wako wa miaka 13 kwa mbwembwe za namna hio 😅Nimesikilia mahojiano baada ya kutoka kanisani mwanamke anasema baada ya kuishi miaka 13 sasa tutazeeka pamoja. Nikashtuka mtu umeishi miaka 13 leo ndio ndoa? Hivi hizi ndoa zina raha gani? Raha ya ndoa ni ile hali siku ya kwanza ndio kweli siku ya kwanza sio mmeshalala huko mnajuwana ndio mnakuja leta ndoa ndio maana hata sura za furaha hawana ni kama wamelazimishwa. Mimi naamini siku ya furaha kwa mtu yoyote ni siku ya ndoa lakini iwe ndoa kweli kwa maana unapewa mke kwa mara ya kwanza lakini hii system siku hizi tunabariki umeishi na mtu na kuzaa sasa hata usia gani wa kupewa nyinyi maana mmeshakubuhu. Hizi kwangu mimi wala sio ndoa ujinga tu.
Hahahahah unalipa sana yani hasa ukiwa na ka biashara ka kuzugia ili usionekane mwehu!Uchawa kumbe unalipa [emoji848]
Yani 13 yrs aristote alikosa laki 8 ya mahari na laki ya kumlipa padri kanisani awafungishe ndoa?Vizuri wakakemea zaidi na wazazi wana sehemu ya lawama katika hili na jamii tunalawama katika hili hili jambo sio sawa unaweza ukakosa mwaka mtu kaishi miaka 13, kazaa, na birthday kibao na baraka za wazee humohumo na family zingine watu wa dini kabisa kwanini wasubiri kanisani waseme wasikae na watoto zao hili mnalofanya sio sawa kama mnapendana na mmeamua kuzaa kabisa fungeni ndoa. ogopeni Mungu katika hili sio sawa kabisa.
Siku hizi hiyo ni fursa ya kukusanya pesa.Nimesikilia mahojiano baada ya kutoka kanisani mwanamke anasema baada ya kuishi miaka 13 sasa tutazeeka pamoja. Nikashtuka mtu umeishi miaka 13 leo ndio ndoa? Hivi hizi ndoa zina raha gani? Raha ya ndoa ni ile hali siku ya kwanza ndio kweli siku ya kwanza sio mmeshalala huko mnajuwana ndio mnakuja leta ndoa ndio maana hata sura za furaha hawana ni kama wamelazimishwa. Mimi naamini siku ya furaha kwa mtu yoyote ni siku ya ndoa lakini iwe ndoa kweli kwa maana unapewa mke kwa mara ya kwanza lakini hii system siku hizi tunabariki umeishi na mtu na kuzaa sasa hata usia gani wa kupewa nyinyi maana mmeshakubuhu. Hizi kwangu mimi wala sio ndoa ujinga tu.
Kabisa,hizi ni bei za ki-kiki-kiki.Kiki hii
Inabid aolewe aisee age imeenda sana ila sidhan kama watadumuPosa ilishatolewa mbona, DC atakua Mrs soon.