Marco Polo
JF-Expert Member
- Jan 16, 2014
- 11,786
- 18,562
Ili mradi pesa iingie kutunisha mfuko wa hospital,Yaani unaumwa mgongo halafu umeanfikiwa ufanye ultrasound,arooo mbona majanga
Siku hizi ukienda hospital usipokuwa mtu wa kuhoji utatapunwa pesa mpaka senti ya mwisho hospital nyingi zimekaa kiupigaji sana .
Ushauri: unapokwenda hospital Dr akikuandikia vipimo muulize Kila kipimo na maana yake na hata akikuandikia dawa pia muulize Kila dawa na kazi yake, ukimuona kapaniki na hakupi majibu ya kuridhisha basi jua kwamba hakuna Dr hapo.