DOKEZO Gharama za kuegesha gari Hospitali ya Muhimbili ni kubwa na zinaumiza

DOKEZO Gharama za kuegesha gari Hospitali ya Muhimbili ni kubwa na zinaumiza

  • Thread starter Thread starter Anonymous
  • Start date Start date
Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Kuna jambo la naona wengi tunalalamika ila hakuna linapofika.

Miezi kadhaa iliyopita Hospitali ya Muhimbili ilianzisha tozo za parking ambazo ilikuwa ukikaa chini ya nusu saa ni bure ila ukizidisha utalipa Shilingi 1,000 kama utakaa chini ya saa tatu.

Kisha wakasema ikiongezeka hapo kila baada ya saa mbili (Dakika 120) utalipia Shilingi 1,000 nyingine. Japo nayo ilikuwa ni ghali kiasi ila walau tulikuwa tunaweza kuimudu kwa kiwango flani.

Sasa hivi wamebadilisha tozo na imekuwa ukikaa chini ya nusu saa ni bure ila ukizidi kila saa moja unalipia Shillingi 1000.

Just imagine kuna huduma gani unaweza kwenda kuifata Muhimbili na ukatumia dakika 20?

Ukienda na mgonjwa wako pale iwe anaumwa au clinic jiandae kupoteza zaidi ya saa tano na pengine inaweza kiwa siku nzima.

Sasa hii inakuwaje, Hospitali ya Serikali tena ya Taifa inatoza wagonjwa wake parking fees zilizo ghali hivi? Hatukatai kuweka parking charges ila hizi zilizobadilishwa sasa ni kali, uwezekano wa kuacha Shilingi 12,000 kila siku ukienda kupata huduma ni mkubwa.

Soma pia Wanaopaki magari Hospitali ya Muhimbili kuanza kulipia
Tuendelee kumsifia mama ambaye mpaka mauti yetu kwake ni fursa ya maokoto.
 
Kuna jambo la naona wengi tunalalamika ila hakuna linapofika.

Miezi kadhaa iliyopita Hospitali ya Muhimbili ilianzisha tozo za parking ambazo ilikuwa ukikaa chini ya nusu saa ni bure ila ukizidisha utalipa Shilingi 1,000 kama utakaa chini ya saa tatu.

Kisha wakasema ikiongezeka hapo kila baada ya saa mbili (Dakika 120) utalipia Shilingi 1,000 nyingine. Japo nayo ilikuwa ni ghali kiasi ila walau tulikuwa tunaweza kuimudu kwa kiwango flani.

Sasa hivi wamebadilisha tozo na imekuwa ukikaa chini ya nusu saa ni bure ila ukizidi kila saa moja unalipia Shillingi 1000.

Just imagine kuna huduma gani unaweza kwenda kuifata Muhimbili na ukatumia dakika 20?

Ukienda na mgonjwa wako pale iwe anaumwa au clinic jiandae kupoteza zaidi ya saa tano na pengine inaweza kiwa siku nzima.

Sasa hii inakuwaje, Hospitali ya Serikali tena ya Taifa inatoza wagonjwa wake parking fees zilizo ghali hivi? Hatukatai kuweka parking charges ila hizi zilizobadilishwa sasa ni kali, uwezekano wa kuacha Shilingi 12,000 kila siku ukienda kupata huduma ni mkubwa.

Soma pia Wanaopaki magari Hospitali ya Muhimbili kuanza kulipia
mkuu jiji la dar es salaam siku hizi usafiri sio wa shida...utatumia gharama ndogo sana enda utaamua kutumia UBER/BOLT.

Muhimbili wameamua kufanya hivyo ili kupunguza idadi ya magari ndani ya hospital ambayo mengi yalikuwa yanatelekezwa na wafanyakazi wa nje ya hospital watu wakajipatia fursa ya kupaki kisha wanatokomea kariakoo huko siku nzima.

ilikuwatimua sasa wakaja na tozo za parking...hiyo tozo inaweza ikapanda zaidi ya hapo...!

tumia UBER/BOLT...!​
 
It's too much kwa kweli, wanafanya kama business center watu wanaenda kufuata mahitaji au ku-refresh. Tunaenda MNH kwa sababu ya matatizo, hizo fees za parking ni mzigo.
tumia UBER/BOLT mkuu utaepuka mengi sana
 
Kuna jambo la naona wengi tunalalamika ila hakuna linapofika.

Miezi kadhaa iliyopita Hospitali ya Muhimbili ilianzisha tozo za parking ambazo ilikuwa ukikaa chini ya nusu saa ni bure ila ukizidisha utalipa Shilingi 1,000 kama utakaa chini ya saa tatu.

Kisha wakasema ikiongezeka hapo kila baada ya saa mbili (Dakika 120) utalipia Shilingi 1,000 nyingine. Japo nayo ilikuwa ni ghali kiasi ila walau tulikuwa tunaweza kuimudu kwa kiwango flani.

Sasa hivi wamebadilisha tozo na imekuwa ukikaa chini ya nusu saa ni bure ila ukizidi kila saa moja unalipia Shillingi 1000.

Just imagine kuna huduma gani unaweza kwenda kuifata Muhimbili na ukatumia dakika 20?

Ukienda na mgonjwa wako pale iwe anaumwa au clinic jiandae kupoteza zaidi ya saa tano na pengine inaweza kiwa siku nzima.

Sasa hii inakuwaje, Hospitali ya Serikali tena ya Taifa inatoza wagonjwa wake parking fees zilizo ghali hivi? Hatukatai kuweka parking charges ila hizi zilizobadilishwa sasa ni kali, uwezekano wa kuacha Shilingi 12,000 kila siku ukienda kupata huduma ni mkubwa.

Soma pia Wanaopaki magari Hospitali ya Muhimbili kuanza kulipia
2mia akaili bro!!!!,jamaa wa muhimbili wanajaribu kupunguza car pullution {uchafu wa wingi wa magari kwa kutumia akili kubwa] ujue ile hispitali ndo hospitali kuu ya nchi,sasa wakiachia kiholela wa2 waingieze magari yao ata sehemu ya kupita kwa miguu itakuwa hamna!!!!!!!,,,,,,,ndomanake wanajaribu kwa njia hizo kukabiliana na hilo janga!!!,,,,pia wanawaonea huruma,,,ili mfanye mazoezi,kwani ukipaki gari pale upanga au kariakoo au fire then ukatembea kwa miguu kunakupunguzia heshima??? au jamaa wanaokufaham watakuona umefail?????,,,,,,,,,,,,paki gari mbali,chapa mwendo!!!
 
It's too much kwa kweli, wanafanya kama business center watu wanaenda kufuata mahitaji au ku-refresh. Tunaenda MNH kwa sababu ya matatizo, hizo fees za parking ni mzigo.
Janaume linalia lia
 
Hizo gharama ni bora ziwepo tu maana ikiwa bure vip wanaoingia watapaki wapi unapewa tozo ili ukishindwa uachie na wenzio wa paki.
 
Back
Top Bottom